Najua wengi wamekua wakitamani kupunguza mwili/unene bila mafanikio, unafanya mazoezi, unafanya diet llakini hupungui, Leo ntakupa somo ili uweze kupunguza mwili kadri unavyotaka wewe, utaambiwa Fanya mazoezi, usile vyakula vya mafuta,kunywa maji mengi na blah blah kibao, lakini What's the...
Mkuu Fanya mazoezi na punguza kumeza sana chakula hasa vyakula vyenye calories nyingi
There is no way around, sadly
Hao wazungu na wachina wanaowatengenezea hizo dawa ndo wanaongoza kwa kufanya mazoezi
Mkuu ukiwa na mafanikio tegemea maadui wengi
Alafu tatizo lingine Marekani hatulii kwake anafanya sana fitina nchi za watu ndo maana maadui wanakua wengi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.