Recent content by mark mayalla

  1. M

    Kuna tatizo katika kanuni za somo la hisabati!!!!!

    naam, nimekusoma mkuu.. nimejaribu kuichanganua kwa kichwa na nime realize kitu unachokisema.. una machungwa nane na ukayazidisha kwa sifuri iweje upate sifuri??? Je! yale machungwa nane yatakua yamepotelea wapi?? kwa akili za kikawaida machungwa nane ukiyazidisha kwa sifuri ayataongezeka wala...
  2. M

    Form 4 na wengine, angalieni hapa!

    mwanao anaweza akaanza chuo chochote katika ngazi ya diploma maana ana D nne pamoja na C moja.. usimkatie tamaa mkuu bali mpe moyo na mwambie azidi kukazana.. life is a race and inampasa a run fast enough ku reach out the goalz
  3. M

    Kuondolewa kwa pesa za kufanyia mtihani wa taifa kidato cha nne

    Hivi kweli kuna humuimu kwa wanafunzi wa kidato cha nne kulipia pesa za kufanyia mtihani wao wa kuhitimu? serikali inataka mwanafanzi wa kidato cha nne kulipia 35,000/= kama pesa ambayo itamuwezesha kufanya mtihani wake wa kidato cha nne. embu tu jaribu kuvuta taswira mtanzania huyu ni yule...
  4. M

    Msaada hii hesabu!

    hiwvi hamnaga njia rahisi ya kufanya sodoku?
  5. M

    Form 4 na wengine, angalieni hapa!

    nimekusoma mkuu, lakini ningependa kuuliza swali moja la ziada.. ivi kwa mfano mtu ana c 3 na yupo qualified kwenda form 5 lakini aka cancel out kwenda form 5 na akaanza chuo katika ngazi ya diploma.. je atakua kachukua one big step a head au atakua sawa na yule aliyeenda form 5? kwa sababu wote...
  6. M

    Kitendawili ... Tega!. " Alikuwa Akiongea na Nani?...."

    kanumba was supposed kuwa a gentle man.. lulu ni type ya wakina bob, kwani aku ona hilo hadi awe na wivu??
  7. M

    jamani naombeni msaada

    nataka kupata cods za education sites ili niweze kusoma vitabu free on internet but i cant get them by googlig, kwa iyo kama mtu yoyote anaweza akansaidia then naomba aniambie.. iwe ni site ya secondary studies.
Back
Top Bottom