hiyo siyo rorya peke yake ni tz nzima yani ni shid maaana kuna watumishi wapy wamepata chek namba huu mwezi wa pili na wenyew mshahar umesimama, hii nchi aisee cjui...
ss hv kidogo wanadelay sana kwa7bu wanaoitaji na wanao tumia huo mfumo ni wengi mno, binafsi wakat namaliza chuo mwaka 2021 kuna ambao walienda pal dodoma na wakapata tanesco na hadi leo yupo mmoja ambae anafanya tanesco na tayr anamkataba ila kipindi kile ilikuwa unapeleka cv zako tu ofisini...
c kweli mwanamke hat awe na pesa kumzidi dangote kuna mahali akifik lazima aitaji mume, hao uliowataja baadhi yao walishaolewa wakaachik shauri ya kuleta ustar hd ndani ya ndoa..wapo mastaa wenye kipato kikubwa mbona wameolewa akiwemo nandy...
lakini mara mia hata wao maana ukifanikiwa kwenda oral unakuwa na kauhakika fulani ka kuwepo kweny database mda wowot unaweza kuitwa, tra utakaa data base ipi??
C tabia ya mtu mmoja isiwe 7bu ya kuona kila mwanaume ni mchafu, mbona wanawek wakatili wapo hao wanaobeba mimba wanakuja kuitoa ina miezi nane wao unaweka kweny kundi gani ,au wanaojifungua watoto vizur alafu wanawatumbukiza chooni hiyo ni tabia tu ya mtu cyo kwamba kila mwanaume yupo hivyo..
Habari wakuu,
Naitwa jamali nina umri wa miaka 30 nipo mwanza, elimu yangu ni degree ya kwanza katika fani ya manunuzi na ugavi pia nina ordinary diploma ya fani hiyo hiyo, ninauzoefu wa mwaka mmoja nilioupata katika taasisi fulani na barua ya uthibitisho pia ninayo.
tupeane mashavu wakuu nipo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.