Naam! Siyo tu ushabiki wa tumpigie nani kura bali pia tuuepuke ushabiki wa kukaa nje ya kituo eti tunalinda kura.. Mtavunjwa miguu mubaki vilema hatimaye mushindwe kumudu maisha yenu wenyewe huku hao viongozi waliowashawishi mukae nje ya kituo wanakula maisha mazuri na familia zao
Mungu ibairiki...
Naziona karatasi zote tatu za kupigia kura nimeweka alama ya vema kwenye chumba cha mgombea wa CCM
Namuona Rais wa awamu ya tano akiwa amevaa kofia yake ya Bongo man huku ameketi kwenye kiti bustanini ikulu pembeni yake kuna mkewe Mama Janeth Magufuli
Naona watu wakiwa na hofu ya kuteuliwa...
Wanafunzi wametumika sana kuwabeba CDM bila mafanikio yoyote, wamevunjwa miguu, wamepigwa mabomu ya machozi wamepata kila dhoruba lakini mwisho wa siku wanagundua kuwa CDM ni wapiga dili tu hawana dhamira ya dhati kulikomboa taifa letu kama wanavyodai
Kura zao zinakwenda kwa Magufuli J. P...
Wanahaha tu, wameshaona ushindi si halali yao tena ndo wanaanza kutafuta sababu. Ukweli ni kwamba hakuna mgombea mwenye uwezo mkubwa na sifa nzuri za kumshinda Magufuli, acha washindane kwenye ubunge tu lakini kwenye Urais Magufuli kapita bila kupingwa
Magufuli kawafunika wapinzani wake wote... NI mshindi anayesubiri point tatu baada ya kupulizwa kipenga cha mwisho dakika ya 90. Wapeni pole wapinzani kwa kuukosa ushindi
Ruzuku ya Wanafunzi kwa ajili ya ununuzi wa vifaa vya kufundishia na kujifunzia katika shule zote za Serikali nchini,utatolewa kwa wakati ndani ya utawala wa Dr.JPMagufuli
Siku kama ya leo itazaliwa Tanzania mpya, iliyo chini ya kiongozi mkuu muadilifu na asiye na madoa ya wizi. Tanzania ya Magufuli yenye neema ya viwanda na ajira tele
SIKU KAMA YA LEO:
Inshallah siku kama ya leo itakuwa Oct 25, siku iliyosubiriwa kwa hamu kubwa sana na kila mmoja wetu.
Siku kama ya leo nitamaliza kero ya maji mtaani kwetu
Siku kama ya leo nitapata pembejeo za kilimo kwa bei nafuu haijapatapo tokea
Siku kama ya leo nitaanza kilimo cha...
VIPAUMBELE VYA WAGOMBEA
MAGUFULI
Afya (Trilioni 29.15)
Zahanati kwenye kila kijiji
Kituo cha afya kila kata
Hospitali kwenye kila wilaya
Hospitali ya Rufaa kila mkoa
Elimu bure hadi kidato cha nne (Trilion 5.14)
Hakuna ada ya shule
Hakuna michango
Ujenzi Chuo kikuu kipya cha Kilimo...
Hata kama upinzani ukishamiri namna gani lakini Watanzania wengi wanautambua umuhimu wa nchi yao kuongozwa na Rais wa Chama Cha Mapinduzi; wako radhi kumchagua Mbunge wa chama chochote cha upinzani lakini hawako tayari kuongozwa na Rais toka nje ya CCM.
Siyo kama hawayaoni mapungufu yaliyopo...
Hivi hamuoni kuwa hii ni janja ya nyani?
Mzee alikuwa taabani, alipitisha muda wake wa kuchomwa sindano so hakukuwa na namna ni lazima tu ahairishe mkutano.
Eti system mbili tofauti zote ziligoma wakati wa kutaka kuzungumza yeye... Are you serious? hivi wanataka kura ili watuongoze au...
Waswahili wanasema haijalishi una nguvu kiasi gani, bali mbinu zako za kumzidi adui yako. Lakini kwa hili CCM ina nguvu na mbinu zaidi ya wapinzani wake
CHADEMA inagaragazwa kama mbwa koko aliyedokoa mboga kwenye nyumba ya jirani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.