Magufuli aendelea kuzoa kura za Mwanza

Magufuli aendelea kuzoa kura za Mwanza

Siyo tu kujizolea kura, ni kujizolea ushindi... Hakuna wa kumzuia Magufuli kuingia ikulu hata mara moja
 
Kura amezoa wapi? Uchaguzi si bado? Unaandika kwa ushabiki mpaka unaharibu maana ya unachotaka kusema. Ukweli ni baada ya October 25.

Nami nimeshangaa kama wewe vile. Heading ya thread imekaa sivyo
 
Back
Top Bottom