Recent content by Marisi schweini

  1. M

    HOJA NDANI YA HOJA: Rais Magufuli na bahati nasibu ya korona - ITALIPA?

    Hebu leta numerical back up ya hoja yako..kwahiyo serikali ikisema baba yako sio mzazi wako utakubali? Hebu acha ujinga!
  2. M

    HOJA NDANI YA HOJA: Rais Magufuli na bahati nasibu ya korona - ITALIPA?

    Nilitegemea kwenye bandiko lako ungeandika sababu kubwa zilizosababisha Rais asizuie watu kutoka badala yake umeamua kuzunguka mbuyu. Rais hajazuia watu kutoka Kwan sababu kuu mbili: Mosi , watanzania sio watu wa kuweka akiba hivyo basi, kuwazuia kutoka ni sawa na kusema kufeni kwa njaa...
  3. M

    Zitto: Ushauri wangu kuhusu Mlipuko wa Korona

    Kwani Bulembo sio baba mkwe wake na ZZK? Anataka binti yake awe mjane?
  4. M

    Diwani wa Kata ya Gwarama (CHADEMA) na aliyekuwa mgombea wa Ubunge kwenye uchaguzi mdogo jimbo la Buyungu aachana na CHADEMA na kujiunga CCM

    Aliyekuwa Mgombea wa Ubunge jimbo la Buyungu kupitia CHADEMA kwenye uchaguzi mdogo 2018 ndugu Elia F Michael ameamua kuachana na Chadema na kujiunga na CCM. Ndugu Elia Michael ni Diwani wa Kata ya Gwarama kupitia CHADEMA. Pia soma...
  5. M

    Njia alizotumia Mchechu kuongoza NHC zilikuwa batili. Shirika lilitakiwa liwe limekufa mapema

    Wewe umejuaje ni pesa za wizi? Mbona hajapelekwa mahakamani? Somesheni watoto wenu muache wivu wa kijinga kuongea wivu watu waliofanikiwa utakufa kwa kijiba! Nchi hii watu wanasoma kwa shida wakifanikiwa mnawaita wezi ujinga mtupu.
  6. M

    Njia alizotumia Mchechu kuongoza NHC zilikuwa batili. Shirika lilitakiwa liwe limekufa mapema

    Toa numerical evidence to back up your arguments otherwise ni chuki, wivu na husda kama kawaida ya wananchi wengi wa nchi hii. Kumchukia aliyefanikiwa hakukufanyi ufanikiwe!
  7. M

    Waraka wa Bernard Membe kwa Askofu Mwamakula: Sitishiki, sitakaa kimya na kamwe sitaabudu mtu wala miungu wengine

    Kwenu zilikuwa za serikali? Unawezaje kudai kitu amabcho hakikuwa cha kwako tokea mwanzo! Acheni ujinga
  8. M

    Kwanini katika Mafunzo yoyote yale ya ' Kijeshi ' Wiki Sita za Kwanza huwa mnalazimishwa kutokulala?

    Wewe mtutsi mtu wa matusi hujarudishwa kwenu Burundi kwenye awamu ya juzi?
  9. M

    Wakili Alberto Msando(CCM) anavyotumia udhaifu wa Mbunge Anthony Komu(CHADEMA) kuieneza CCM Moshi Vijijini

    Hate gani wakati nmemuona Msando mara nyingi akilala kwenye magheto ya wanafunzi wa kike vyuoni achilia mbali video zake akimpima oil Gigy Money! Msando ni mpuuzi hawezi kuwaongoza watu wenye akili zao
  10. M

    Wakili Alberto Msando(CCM) anavyotumia udhaifu wa Mbunge Anthony Komu(CHADEMA) kuieneza CCM Moshi Vijijini

    Msando huyu huyu mhuni dunga dunga wa wanafunzi wa vyuo? Hakuna chuo cha kanda ya Kaskazini (Arusha na Kilimanjaro) ambako Msando hana demu. Halafu huyu jamaa si ndio alijiuzuru ushauri wa ACT baada ya kujirekodi ameweka mkono kwenye papuchi ya Giggy money baada ya kutoka kumlamba koni? Mnataka...
  11. M

    China yamtunza medali ya heshima Dk salim A.salimu

    The best president we never had. Hakuna mwanasiasa duniani niliyempenda kama huyu mzee.
  12. M

    Profesa Kabudi Akihutubia Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa: Tanzania tumedhamiria kubadili maisha ya watu, Azungumzia pia kuhusu Zimbabwe na DRC

    Ukitaka kumwelewa P, msome between the lines . Kumlaumu Pasko kwanini amebadilika unanishangaza sana kwa sababu unapaswa kufahamu Pasko alishakutana na uhalisia wa kupingana na serikali awamu hii so he knows what it means to stand against government in the current reign. Nikuulize swali rahisi...
  13. M

    Wanachama wa act wazalendo tunataka Uchaguzi la sivyo tutarudi CUF mara moja

    Una ushahidi wa haya unayoyasema? Au unapiga soga ili kukamilisha majukumu yako kutetea kibarua chako
  14. M

    Mbowe hutoa wapi pesa kuikopesha CHADEMA?

    Ila tukiacha unafiki mtoa mada ana point inayopaswa kujibiwa kwa hoja mujarabu sio matusi au kejeli. Mbowe kuikopesha chadema ilihali akiwa ni mwenyekiti inatengeneza 'conflict of interest' kwa mkopeshaji kuwa ndiye mlipaji!
  15. M

    Damu ya Lissu yawakomboa wanasingida dhidi ya shida ya maji

    Na nyinyi mnakufuru sasa! Ni ujinga kutoa mfano wa damu ya Yesu iliyomwagika msalabani kuukomboa ulimwengu na dhambi na binaadam yeyote yule. Acheni ujinga kwani hamwezi kusifia bila kulitaja jina la Yesu? Na mbaya zaidi unakuta mleta mada ni mkiristo! Shame on you. Kumbukeni usilitaje bure...
Back
Top Bottom