Recent content by marisi schwein

  1. M

    JamiiForums Tanzania Wabunge wa CCM, Mawaziri, Askari polisi, mawakili na wanasheria wa serikali na viongozi wengine wa kiserikali; Jifunzeni kwa Hamis Kingwangwala

    Huyu aliwahi kusema tunatakiwa tufikiri nje ya box tujiajiri wenyewe. Nashangaa mtu aliyewahi kuwa Waziri na mbunge kwa miaka kumi ameshindwa kufikiri nje ya box kama alivyokuwa anatushauri sisi graduates
  2. M

    JamiiForums Tanzania Dini zina maelezo gani kuhusu binadamu wa jamii tofauti kuwa na rangi tofauti?

    Hiyo "......sisi tumekuumbeni" mbona inamuongelea Mungu katika wingi na sio umoja km mnavyodai Waislam?
  3. M

    JamiiForums Tanzania Vita Vya Iran na Marekani: Iran Ikipigwa Nuclear Israel Nayo Haitabakia Salama

    Una maarifa mengi na makubwa katika mawanda ya Historia ila tatizo lako ni udini. Umeruhusu udini ukaleta ukungu mkubwa katika akili yako kiasi kwamba ukiongea unajikuta upo katika mlengo wa dini na sio objectives
  4. M

    JamiiForums Tanzania Vita Vya Iran na Marekani: Iran Ikipigwa Nuclear Israel Nayo Haitabakia Salama

    Mbona kama unamuunga mkono uliyemjibu. Anakuuliza kwanini uvae mavazi ya Kiarabu ilhali wewe sio Muarabu?
  5. M

    JamiiForums Tanzania Wangapi mnamuelewa mwalimu Google?

    Kiufupi jamaa ni kilaza ila yupo entitled sana
  6. M

    JamiiForums Tanzania Wangapi mnamuelewa mwalimu Google?

    Hao wapo kwenye payroll ya mashirika ya Kijasusi ya hizo nchi
  7. M

    JamiiForums Tanzania Vijana mkipata nafasi ya kuji attach kwenye royal family, Usirudi nyuma

    Wewe jamaa unanivutia una maarifa, ni eloquent and brilliant japokuwa tunapishana kwenye suala la kuwepo Mungu. Anyways, huoni kwamba kinachokupa ubavu wa kukataa royal family daughters ni kwa sababu unajiweza kiuchumi na tayari familia yako wapo vizuri? Vipi ungekuwa unatokea familia zetu za...
  8. M

    JamiiForums Tanzania Vijana mkipata nafasi ya kuji attach kwenye royal family, Usirudi nyuma

    Usiniwekee maneno mdomoni ndg yangu
  9. M

    JamiiForums Tanzania Vijana mkipata nafasi ya kuji attach kwenye royal family, Usirudi nyuma

    Acha uongo na upotoshaji. Yule dogo kabadilisha dini na kafunga ndoa ya Kiislam. Ila sidhani km familia ya Mwinyi ni wale Waislam wa 'kihivo'
  10. M

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Kijana Kitanzania kumvisha pete Mtoto wa Rais wa Kenya,Charlene Ruto

    Lazima kafanyiwa vetting ya kutosha. Jamaa wanasema ni Young billionaire( kwa pesa za Tshs)
  11. M

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Kijana Kitanzania kumvisha pete Mtoto wa Rais wa Kenya,Charlene Ruto

    Kijana wa Kitanzania na mwanzilishi wa application ya SomaApp aitwaye Isaiah Yunk(g)e anatarajia kumvisha pete ya uchumba Charlene Ruto katika sherehe ya kimila( Koito ak chaik) itakayofanyika leo Jumamosi huko Narok, Kenya. Miongoni mwa wageni wanaotarajiwa kuhudhuria ni pamoja na wazazi wa...
  12. M

    JamiiForums Tanzania KERO Wasafibet kitengo chao cha Huduma kwa Wateja kinawaharibia kwa kutoa lugha chafu na kuibia wateja!

    Mimi ni mteja mzuri tu wa betting companies( ambaye sometimes nabet mpaka 40M kwa mwezi). Miezi kadhaa iliyopita nilihamia Wasafibet baada ya kuona wanatoa odds nzuri na mechi nyingi zaidi in play na app yao ni user friendly( kwa hilo nawapongeza na kuwapa maua yao). Kinachonitatiza ni kitengo...
  13. M

    JamiiForums Tanzania Cristiano Ronaldo Asilimu na sababu ni ya kushangaza

    Huyo bibi hana akili linapokuja suala la dini. Hana tofauti na Prof Assad na Dau yule fisadi wa zamani wa NSSF
  14. M

    JamiiForums Tanzania Yanayonikuta London, Uingereza - Part 2

    Inaweza kuwa visual au auditory hallucinations pia
Back
Top Bottom