Mimi ni mteja mzuri tu wa betting companies( ambaye sometimes nabet mpaka 40M kwa mwezi). Miezi kadhaa iliyopita nilihamia Wasafibet baada ya kuona wanatoa odds nzuri na mechi nyingi zaidi in play na app yao ni user friendly( kwa hilo nawapongeza na kuwapa maua yao). Kinachonitatiza ni kitengo...
Wewe na nani mnaokula na kusaza? Wewe shoger kama unakula na kusaza vipi bibi na babu, mjomba na shangazi na ndg zako huko kijijini wanakula na kusaza?
Nani alikuambia Afrika kuna tofauti kati ya upinzani na chama tawala? Yaani mtu mwenye akili timamu uwape Chadema nchi ili Godbless Lema awe Waziri wa Mambo ya Ndani! Utakuwa na akili kweli?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.