Watz ni wasahaulifu na wabinafsi kupitiliza. Nchi hii hakuna kitu kinaitwa maslahi ya umma bali kuna maslahi ya mtu mmoja mmoja. Ndio maana ni kawaida ya Watz kushangilia mwenzao akianguka kimaisha
Kitila Mkumbo njoo utueleze kama bado una msimamo huu au umeshabadilika? Na km umebadilika, ni kitu gani kimekubadilisha? Kuna haja ya kuwaamini wapinzani kama mnakuwa na lugha mbili tofauti kabla, na baada ya kuingia serikalini?
Mimi siku zote naamini Watz karibia wote tunafanana kwa kila...
Endelea kuropoka ilhali Mecca inalindwa na wanajeshi wa Marekani. Endelea kuburudika na soseji za nyama ya kitimoto
Nipo namsikiliza MBS kuhusu hadithi za mtume
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.