Recent content by marisi schwein

  1. M

    JamiiForums Tanzania Vijana mkipata nafasi ya kuji attach kwenye royal family, Usirudi nyuma

    Wewe jamaa unanivutia una maarifa, ni eloquent and brilliant japokuwa tunapishana kwenye suala la kuwepo Mungu. Anyways, huoni kwamba kinachokupa ubavu wa kukataa royal family daughters ni kwa sababu unajiweza kiuchumi na tayari familia yako wapo vizuri? Vipi ungekuwa unatokea familia zetu za...
  2. M

    JamiiForums Tanzania Vijana mkipata nafasi ya kuji attach kwenye royal family, Usirudi nyuma

    Usiniwekee maneno mdomoni ndg yangu
  3. M

    JamiiForums Tanzania Vijana mkipata nafasi ya kuji attach kwenye royal family, Usirudi nyuma

    Acha uongo na upotoshaji. Yule dogo kabadilisha dini na kafunga ndoa ya Kiislam. Ila sidhani km familia ya Mwinyi ni wale Waislam wa 'kihivo'
  4. M

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Kijana Kitanzania kumvisha pete Mtoto wa Rais wa Kenya,Charlene Ruto

    Lazima kafanyiwa vetting ya kutosha. Jamaa wanasema ni Young billionaire( kwa pesa za Tshs)
  5. M

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Kijana Kitanzania kumvisha pete Mtoto wa Rais wa Kenya,Charlene Ruto

    Kijana wa Kitanzania na mwanzilishi wa application ya SomaApp aitwaye Isaiah Yunk(g)e anatarajia kumvisha pete ya uchumba Charlene Ruto katika sherehe ya kimila( Koito ak chaik) itakayofanyika leo Jumamosi huko Narok, Kenya. Miongoni mwa wageni wanaotarajiwa kuhudhuria ni pamoja na wazazi wa...
  6. M

    JamiiForums Tanzania KERO Wasafibet kitengo chao cha Huduma kwa Wateja kinawaharibia kwa kutoa lugha chafu na kuibia wateja!

    Mimi ni mteja mzuri tu wa betting companies( ambaye sometimes nabet mpaka 40M kwa mwezi). Miezi kadhaa iliyopita nilihamia Wasafibet baada ya kuona wanatoa odds nzuri na mechi nyingi zaidi in play na app yao ni user friendly( kwa hilo nawapongeza na kuwapa maua yao). Kinachonitatiza ni kitengo...
  7. M

    JamiiForums Tanzania Cristiano Ronaldo Asilimu na sababu ni ya kushangaza

    Huyo bibi hana akili linapokuja suala la dini. Hana tofauti na Prof Assad na Dau yule fisadi wa zamani wa NSSF
  8. M

    JamiiForums Tanzania Yanayonikuta London, Uingereza - Part 2

    Inaweza kuwa visual au auditory hallucinations pia
  9. M

    JamiiForums Tanzania Yanayonikuta London, Uingereza - Part 2

    Tactile hallucinations. Muone Daktari wa akili( Psychiatrist) ASAP
  10. M

    JamiiForums Tanzania Mbunge wa Kenya atoa mfano bungeni kuhusu matukio ya utekaji na mauaji Tanzania

    Unalimia kitandani kuwakatikia wanaume wenzako sio? Nchi hii mpaka mashoger mnajiona mna akili timamu
  11. M

    JamiiForums Tanzania Mbunge wa Kenya atoa mfano bungeni kuhusu matukio ya utekaji na mauaji Tanzania

    Wewe na nani mnaokula na kusaza? Wewe shoger kama unakula na kusaza vipi bibi na babu, mjomba na shangazi na ndg zako huko kijijini wanakula na kusaza?
  12. M

    JamiiForums Tanzania Naomba ushauri jinsi ya kununua cement mifuko 100 kwa bei ya jumla kutoka kiwanda cha Twiga

    Tofauti ya sh 1500 inakuumiza vipi mkuu? Hebu haribu kudadavua kidogo
  13. M

    JamiiForums Tanzania Nizingatie nini katika kununua TV?

    Kwamba hizo ni nzuri kuliko Sony na LG? Au umemaanisha brands za bei rahisi?
  14. M

    JamiiForums Tanzania Rais wa Urusi Vladmin Putin anavyomwangalia Tulia Akson unadhani anafikiria nini?

    Utakuwa huna akili, unatumia mahaba au vyote! Nani kakudanganya Warusi na ubaguzi wao kuwa wanawapenda watu weusi? Umeshawahi kufika Urusi?
  15. M

    JamiiForums Tanzania Yusuf Manji; kielelezo cha “malaika waliogeuzwa shetani”

    Dah! Kweli maisha ya hapa duniani ni ubatili mtupu na yamejaa dhiki
Back
Top Bottom