Recent content by marisi schwein

  1. M

    JamiiForums Tanzania Wasafibet kitengo chao cha Huduma kwa Wateja kinawaharibia kwa kutoa lugha chafu na kuibia wateja!

    Mimi ni mteja mzuri tu wa betting companies( ambaye sometimes nabet mpaka 40M kwa mwezi). Miezi kadhaa iliyopita nilihamia Wasafibet baada ya kuona wanatoa odds nzuri na mechi nyingi zaidi in play na app yao ni user friendly( kwa hilo nawapongeza na kuwapa maua yao). Kinachonitatiza ni kitengo...
  2. M

    JamiiForums Tanzania Cristiano Ronaldo Asilimu na sababu ni ya kushangaza

    Huyo bibi hana akili linapokuja suala la dini. Hana tofauti na Prof Assad na Dau yule fisadi wa zamani wa NSSF
  3. M

    JamiiForums Tanzania Yanayonikuta London, Uingereza - Part 2

    Inaweza kuwa visual au auditory hallucinations pia
  4. M

    JamiiForums Tanzania Yanayonikuta London, Uingereza - Part 2

    Tactile hallucinations. Muone Daktari wa akili( Psychiatrist) ASAP
  5. M

    JamiiForums Tanzania Mbunge wa Kenya atoa mfano bungeni kuhusu matukio ya utekaji na mauaji Tanzania

    Unalimia kitandani kuwakatikia wanaume wenzako sio? Nchi hii mpaka mashoger mnajiona mna akili timamu
  6. M

    JamiiForums Tanzania Mbunge wa Kenya atoa mfano bungeni kuhusu matukio ya utekaji na mauaji Tanzania

    Wewe na nani mnaokula na kusaza? Wewe shoger kama unakula na kusaza vipi bibi na babu, mjomba na shangazi na ndg zako huko kijijini wanakula na kusaza?
  7. M

    JamiiForums Tanzania Naomba ushauri jinsi ya kununua cement mifuko 100 kwa bei ya jumla kutoka kiwanda cha Twiga

    Tofauti ya sh 1500 inakuumiza vipi mkuu? Hebu haribu kudadavua kidogo
  8. M

    JamiiForums Tanzania Nizingatie nini katika kununua TV?

    Kwamba hizo ni nzuri kuliko Sony na LG? Au umemaanisha brands za bei rahisi?
  9. M

    JamiiForums Tanzania Rais wa Urusi Vladmin Putin anavyomwangalia Tulia Akson unadhani anafikiria nini?

    Utakuwa huna akili, unatumia mahaba au vyote! Nani kakudanganya Warusi na ubaguzi wao kuwa wanawapenda watu weusi? Umeshawahi kufika Urusi?
  10. M

    JamiiForums Tanzania Yusuf Manji; kielelezo cha “malaika waliogeuzwa shetani”

    Dah! Kweli maisha ya hapa duniani ni ubatili mtupu na yamejaa dhiki
  11. M

    JamiiForums Tanzania Tatizo la mate kujaa mdomoni

    Asiache ila atumie Olanzapine km mbadala
  12. M

    JamiiForums Tanzania Tatizo la mate kujaa mdomoni

    Hizo ni extra pyramidal side effect za Haloperidol ( most likely). Abadilishe dawa atumie mbadala km vile Olanzapine n.k
  13. M

    JamiiForums Tanzania Hatimae ndoa ya Shilole na Rommy3D yavunjika rasmi

    Unatumia ugunduzi wa Wayahudi kutukana na kuwatetea Waarabu na dini yao ya wavaa kobazi. Niambie Mwarabu amewahi kugundua nini cha maana dunia hii?
  14. M

    JamiiForums Tanzania Jinsi chama cha upinzani kinavyomsulubu Edgar lungu ambaye aliachia uongozi kwa amani

    Nani alikuambia Afrika kuna tofauti kati ya upinzani na chama tawala? Yaani mtu mwenye akili timamu uwape Chadema nchi ili Godbless Lema awe Waziri wa Mambo ya Ndani! Utakuwa na akili kweli?
  15. M

    JamiiForums Tanzania Adhalilishwa kwenye ziara ya Makonda, aambiwa "Usiongee na mimi hivyo, nina mke mzuri"

    Makonda ana mengi mazuri tena sana but sometimes kwa kuchanganyikiwa na furaha ya wanaomshangilia anajikuta anavuka msitari
Back
Top Bottom