Recent content by marineplex

  1. marineplex

    Hivi askari Polisi wa Tanzania hulipwa mshahara kiasi gani?

    Waulize Askari wa Suma jkt wanalipwa shilingi ngapi na wako serikalini
  2. marineplex

    Tunaotafuta Kazi Tanzania Intelligence and Security Service (TISS) Tukutane Hapa

    Tanzania Kama hauna connection utashangaa ata kwenye msiba unakosa chakula
  3. marineplex

    Natafuta site ya kuweka pool table Arusha

    Wadau naombeni msaada, Nina pool table langu natafuta mtu mwenye site/sehemu nzuri kwa maana ya pub, grocery au bar kwa ajili ya kuweka pool table then tupatane malipo. Nipo tayari kuijengea kibanda ili mradi tu kuwe na pub au grocery au baa. NB: Sehemu iwe ndani ya Arusha.
  4. marineplex

    Naomba kujua huyu mtu anaitwa Nyoka aliyekuwa akiishi Mererani Arusha

    Scrapper za lorry zimebaki pale soko la samunge r chugaz[emoji848][emoji848]
  5. marineplex

    Tulionusurika kufa maji tukutane hapa

    [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119]
  6. marineplex

    Kwa vijana ambao hatuna ajira na umri unaenda tufanye yafuatayo.

    Asante mkuu... Lakini hizo sio fursa za kumtoa kijana kwa wazazi currently, nipande miti ya mbao nisubirie ikue then niuze daah.. Tuwe serious sometimes Kama umeamua kushirikisha watu fursa tuwe tunatoa na mpango mkakati kuanzia kwenye mtaji ,na mlolongo mzima wa hiyo fursa.. Otherwise...
  7. marineplex

    Kijana atakayelalamikia ukosefu wa ajira baada kuhitimu masomo yake akamatwe

    ...asilimia kubwa ya wanaotoa haya maneno Ni waajiriwa..[emoji125][emoji125]
  8. marineplex

    Mademu mkija gheto tumieni vitu kistaarabu

    [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] tupo wengi kumbee
  9. marineplex

    Tulionusurika kufa maji tukutane hapa

    [emoji849][emoji849][emoji26]
  10. marineplex

    Tulionusurika kufa maji tukutane hapa

    Ni kweli mkuu inawezekana Ni mdogo lakini +8 years ahead , sasa naweza kukaa na wazee tukashauriana.. Pia inawezekana nilikuwa form six na umri mkubwa.
  11. marineplex

    Tulionusurika kufa maji tukutane hapa

    [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] tatizo hatupendagi kusema hatuwezi kuogelea, na maji hayajaribiwi lazima yakuumbue tu
  12. marineplex

    Tulionusurika kufa maji tukutane hapa

    [emoji23][emoji23][emoji23] pole sana mkuu
  13. marineplex

    Tulionusurika kufa maji tukutane hapa

    Labda kuogelea na safety gears Kama mpira ivi otherwise no,no,[emoji23][emoji23]
  14. marineplex

    Tulionusurika kufa maji tukutane hapa

    Duuh huu Uzi umenikumbusha mbali Sana Ilikuwa mwaka 2011 nikiwa form six huko mwanga Kilimanjaro ,alikuja dada mzungu jirani na shule basi nikaja kumshobokea na viinglish vyangu vya broken. Mtoto akaja kukolea akawa anakuja school asiponiona analia basi masela wananisaka Kila chimbo kwamba...
  15. marineplex

    Biashara ya kuchezesha pool table inalipa?

    Zinafunguliwa saa nane na nusu mchana mkuu kufunga saa nne usiku
Back
Top Bottom