Recent content by maridadioh

  1. M

    Ufugaji wa Nguruwe: Fahamu faida, hasara na mbinu bora za ufugaji

    Mwenye watoto wa nguruwe mbegu nzur ya kufuga ani pm au tuwasiliane 0718425270 npo dsm
  2. M

    Ufugaji wa Nguruwe: Fahamu faida, hasara na mbinu bora za ufugaji

    Naomba muni add na mimi kwenye whatsapp group la wafugaji wa nguruwe 0718425270
  3. M

    List za biashara au fursa

    Una simu ya smart phone ya 250,000 afu unasema tatizo mtaji na wakati wengine walianza na mtaji wa elfu 20, jitazame kwanza unaresource gani na apo ndio pa kuanzia
  4. M

    Unaweza kuwa milionea kwa kuwekeza katika miti ya mbao, cheki hapa

    Uyu jamaa ni tapeli kuweni makini, mtu anakuitia pembeni ili akunyonge vizuri huu uzi wa miti ulishajadiliwa hapa jukwaani na wadau walifunguka vizuri, jaribuni ku search mtauona
  5. M

    Utabiri wangu juu ya Uchaguzi Mkuu na hali ya kisiasa miaka 10 ijayo

    Wewe utakuwa umekunywa bangi mbichi
  6. M

    Fahamu dondoo muhimu na za jumla kuelekea Uchaguzi Mkuu 25TH, October 2015

    Kwa mahesabu ya haraka kwenye hiyo chati, lowassa ni raisi mtarajiwa octoba 25 Usianze kubishana kama ujaelewa au hujui hesabu sema ueleweshwe jibu limetoka wp
  7. M

    Maswali tata kifo cha Mchungaji Mtikila

    R.I.P Mtikila wewe mzima umetangulia uwaombee wagonjwa uliowaacha
  8. M

    Waandishi wa habari muigeni Mayage S Mayage kwenye uulizaji maswali

    Mtoa mada anauelewa mdogo, Ilo swali uwezi jibu NDIYO AU HAPANA mana ndani yake kuna vitu viwili ukiukwaji wa katiba na kuchaguliwa kwa lowassa Na kwa mtazomo wa kingunge ni wazi kama katiba ingefuatwa lowassa ndo angechuliwa kuwa mgombea sasa mengine ya yaliyofanyika yana maslai na mtu mwingine
  9. M

    Yaliyojiri Dodoma: Mkutano wa Mgombea Urais wa CCM Dr. Magufuli

    Watu wanafata Fiesta tu wala co kitu kingine, ccm kazi mnayo mikutano yenu hamna wapiga kura watu wamefata mziki na wengine mmezunguka mtaani mkiwasomba na UDA kama mlivyofanya apa dsm ili kuficha aibu msiwe wakiwa kwenye mikutano yenu
  10. M

    Hongera TRA kwa kuweka Kikokotozi ambacho ni user friendly

    Dah ilikuwa ni kazi kweli kweli mana awa makamishna na ma incharge ndo wanahusika na ndo wana aprov ulipe iyo kodi na ukienda help desk unaandika malalamiko yanaenda kwa kamishna unaletewa majibu kamishina ame reject unatakiwa ulipe iyo kodi, Kuenda mbele kisheria unaweza lakini utababaishwa...
  11. M

    Hongera TRA kwa kuweka Kikokotozi ambacho ni user friendly

    Nili fight mpaka nkaamua make decision iyo ya kulipia, ishu apo ya agent anaweza kukuibia kama utakuwa unamwamini tu unampa ela bila kupata assesment yeye ndo akalipie, kuondoa wizi unatakiwa kupata assesment kwa agent wko na unalipia kwa account ya Tra iyopo kwenye benk yeyote wanazotumiaga...
  12. M

    Hongera TRA kwa kuweka Kikokotozi ambacho ni user friendly

    Hii calculator ya Tra ina mapungufu mengi sana, sehemu zingine ipo sawa sehemu zingine haieleweke, na wanaelewa hayo mapungufu ila wapo kimya na hapo ndo wanatumia mwanya huo kupiga ela za watu mana ukienda kule ndani mtu atakwambia nipe kiasi flani nkurekebishie afu wengine ni matapeli anakula...
Back
Top Bottom