Recent content by maridad

  1. M

    JamiiForums Tanzania Olasit House inatoa huduma za malazi Arusha kwa bei nafuu zaidi

    Vyumba kumi kaka vyote self contained...!!
  2. M

    JamiiForums Tanzania Olasit House inatoa huduma za malazi Arusha kwa bei nafuu zaidi

    KwasasA hatuna huduma za restaurant wala bar...ila jiko lipo na huduma za soft drink tunazo kwa wateja waliochukua vyumba tu. Hatuna huduma ya bar wala chakula kwa wateja wasiochukua vyumba ili kuepuka kelele za bar na kupafanya hapa kuwa sehemu tulivu kwa malazi tu. Tukianza kutoa huduma hizo...
  3. M

    JamiiForums Tanzania Olasit House inatoa huduma za malazi Arusha kwa bei nafuu zaidi

    Karibu sana utapata huduma nzuri ukifika hapa.
  4. M

    JamiiForums Tanzania Olasit House inatoa huduma za malazi Arusha kwa bei nafuu zaidi

    Usalama upo wa uhakika wewe na mali zako...tunao ulinzi kutoka kampuni moja ya ulinzi arusha. Karibu sana usiwe na hofu tunatoa huduma ya malazi tuuu hatuna bar hapa olasit kwahiyo utulivu upo wa kutosha.
  5. M

    JamiiForums Tanzania Olasit House inatoa huduma za malazi Arusha kwa bei nafuu zaidi

    Try to visit one day ekotike na kitu unachosema...u will prove wrong!!
  6. M

    JamiiForums Tanzania Olasit House inatoa huduma za malazi Arusha kwa bei nafuu zaidi

    Thank you valentina! It sound goos...ur most welcome!!
  7. M

    JamiiForums Tanzania Olasit House inatoa huduma za malazi Arusha kwa bei nafuu zaidi

    WIRELESS CONNECTION SOON TUNAFUNGA ENEO LOTE...
  8. M

    JamiiForums Tanzania Olasit House inatoa huduma za malazi Arusha kwa bei nafuu zaidi

    Nimeandika kwenye heading inaitwa OLASIT HOUSE...IPO ARUSHA MAENEO YA MBAUDA KITUO CHA BUCHADI AU OFFICE ZA PRIDE MBAUDA...
  9. M

    JamiiForums Tanzania Olasit House inatoa huduma za malazi Arusha kwa bei nafuu zaidi

    Dundo_boy
  10. M

    JamiiForums Tanzania Olasit House inatoa huduma za malazi Arusha kwa bei nafuu zaidi

    nimejitahid kuweka wazi huduma ninayoitoa pamoja na quality ya chumba ukijumlisha na bei halisi...title inajieleza kila kitu including location na picha nimeweka!! Inaonekana maisha yanakuchanganya au inawezekana hata kiumri umenizidi...tafuta hela usilete ushindani mtandaoni c wote ni vijana...
  11. M

    JamiiForums Tanzania Olasit House inatoa huduma za malazi Arusha kwa bei nafuu zaidi

    Hi everyone! natoa huduma ya malazi maeneo ya arusha mbauda. vyumba vyangu ni vya kisasa na vyenye standard ya hali ya juu. kila chumba ni self contained, kitanda cha chuma, heater ya maji moto, tv flat screen kila chumba chenye packages ya dstv. bei zetu ni rahs sana 25000/ tshs per night...
  12. M

    JamiiForums Tanzania OLASIT HOUSE-ARUSHA MBAUDA

    Hi everyone!!! Me nikijana nimeamua kujiingiza kwenye ujasiliamari kidogo...ninatoa huduma ya malazi kwa bei rahis sana...vyumba ni vya kisasa kabisa vyenye heater inayotoa maji moto, kitanda cha chuma cha kisasa, duvet ya kisasa kwa kuzuia barid, sumsung flat tv ya kisasa kila chumba...
  13. M

    JamiiForums Tanzania Huduma ya guest hotel. #olasit house#

    Natoa huduma ya accomodation.jina la hotel ni olasit house. Tupo arusha maeneo ya mbauda kerai kituo cha buchadi. Vyumba vyetu ni vya kisasa vyenye maji ya moto. Kitanda cha chuma. Tv flat screen iliyounganishwa na dstv packages. Bei zetu ni sh 25000 including breakfast. Nicheki kwa 0652812718...
  14. M

    JamiiForums Tanzania Natoa huduma ya hotel

    Kwa anayehitaj huduma ya malazi arusha. Ninatoa huduma ya malazi arusha maeneo ya mbauda kituo cha buchadi. Vyumba vyote ni self contained,kitanda cha kisasa cha chuma,hetal ya maji moto kila chumba na breakfast asubuh. Bei ni shilingi 25000. Ni sehemu tulivu ulinzi upo wa kutosha na parking...
Back
Top Bottom