Nikipita bila kusema nitakuwa sijampa Mungu wangu utukufu anaostahili! Kiukweli nilikuwa nazisikia habari za nguvu za Giza na nilikuwa muombaji wa kawaida tu hadi hapo siku moja ndan ya mwaka huu nilisikia upepo mkali umenivamia mapigo ya moyo yanaenda mbio na mwili wote unatetemeka mithili ya...
Kumbe Glory ni binti wa kambo 😭sasa nimeelewa zaidi! Tatizo hao watoto wasipopata usimamizi mzuri kwa Sasa wakifikisha miaka ya kina sisi tutakutana nao wamepigika sana maana hapo kwa Sasa wajomba wanawanyonyaaa na hiyo mentality yao kwamba mama yao atatoka huko jela ndo itawacost, watajifilisiiii
Hapa Sasa Dc alichemka, kwa hiyo familia ulichofanya wasimamizi wa mirathi wawe wawili kutoka pande zote na huyo mama aondolewe kwenye usimamizi, laiti kesi yake ingekuwa imeisha huyo mtoto angetuliza akili.Maana watahangauka kutafuta hela za kumpa mwanasheria ahonge kwa ajili ya kesi kumbe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.