5997
JF-Expert Member
- Jan 19, 2019
- 514
- 1,204
Juzi nilikua wilaya mojawapo mkoani mwanza aisee nilikua naongea na jama nikimwambia kuwa tarehe 31 nitapoteza mawasiliano kwakuwa bado sijasajili laini hata moja kati ya laini nne nilizonazo,
Cha kushangaa jamaa aliniambia kuna mtu tena wakala anaweza kukuuzia laini nimpatie buku tano ntapata,
Kweli lisemwalo lipo wakuu hizi laini zipo kabisa kuna watu wanazo mimi ningekubali ningekua sasaivi nina laini japo isingekua na majina yangu
Hizi siku za mwishomwisho za kufunga laini kuna watu wanauziwa laini vibaya mno
Wizara husika ni heri mkafuatilia hili jambo maana si maneno haya nimeona baadhi ya watu humu wanaongelea iyo ishu imebidi na mimi nitoe ushahidi wangu,
Yaani kama ni makosa ya kimtandao kwa hali hii watasombwa wengi
Cha kushangaa jamaa aliniambia kuna mtu tena wakala anaweza kukuuzia laini nimpatie buku tano ntapata,
Kweli lisemwalo lipo wakuu hizi laini zipo kabisa kuna watu wanazo mimi ningekubali ningekua sasaivi nina laini japo isingekua na majina yangu
Hizi siku za mwishomwisho za kufunga laini kuna watu wanauziwa laini vibaya mno
Wizara husika ni heri mkafuatilia hili jambo maana si maneno haya nimeona baadhi ya watu humu wanaongelea iyo ishu imebidi na mimi nitoe ushahidi wangu,
Yaani kama ni makosa ya kimtandao kwa hali hii watasombwa wengi