Recent content by Mariangonyani

  1. M

    Viroja: Siku ya kwanza kupanda ndege (ushamba mzigo)

    Jamanii ata mimi sijawah naomba mnielekeze kuanzia airport nn kinatakiwa na kip haitakiwi mkanda unafungwaje namba za siti zimeandikwa wapi
  2. M

    Dawa ipi itafaa kukaushia kidonda cha Opresheni?

    Pole dear mimi mwenzio nilipasuliwa mlalo mwezi wa pili na ni mnene haswa mshono ulikuwa unafunikwa ila nilipona ndani ya wiki tu kuna cndano nilichomwa siku tatu nikapewa na vidonge vya wiki tu na mazoezi nilianza siku ya pili baada ya operation nakuomba jikaze inauma ila ndo ivo
  3. M

    Nina ujauzito - nimekata tamaa

    yani nimeshangaa sana nipo kwenye hilo tatizo mwanaume kakimbia na ninaishi na vvu wala sina ajira ila cjawaza kutoa uhai mwezi uloisha nimejifungua japo kwa tabu maana ilibidi nimpe mtu vyeti vya shule ashike anipe hela za operation , maisha yangu nategemea kuomba ili nimlee mwanangu najua...
  4. M

    Shukrani za dhati

    kujidanganya siwezi maana naweza kuwa na vvu ila kifo changu kikatokana na ata ajari ya gari ujasiri wangu unanifanya niishi vizuri maana tangu nimetoa siri hii humu nina amani kwa ushauri ninaopata ata ukiniona leo hutoamini nilivyo na maisha yanaenda na nina degree yangu mungu akipenda mwaka...
  5. M

    Shukrani za dhati

    mi sio mgeni umu ndani nimewahi ata kutafuta mwenzi mwenye vvu na nikaambulia maumivu tu , kuna vitu vingi tu nimewahi post
  6. M

    Shukrani za dhati

    Napenda kushukuru jf sanasana Asha D , Fixed point , maxence melo, kaunga , riwa , mwa j ,kipipi , blacki woman , mtambuzi , erickb52 na niliowasahau mmefanya nione kuwa na vvu si mwisho wa maisha kwani ilikuwa ngumu sana kukaa nalo moyoni bila familia yangu kujua kupitia nyinyi nimekuwa wazi...
  7. M

    Sifa kuu za kabila la Kinyakyusa

    Wanyakyusa wa kyela wanaongoza kwa dharau na uhuni
  8. M

    Jinsi ya kuzuia maambukizi ya vvu kutoka kwa mama kwenda kwa mtoto

    Nielimisheni kuhusu zile dawa za kumkinga mtoto dhidi ya vvu
  9. M

    VVU kwa watoto U<15 na utayari wa wazazi wao kuwaanzishia dawa za kupunguza makali.

    Mi nieleze unyonyeshaji kwa mama aliye athirika maana nasikia mtoto anatakiwa anyonye miezi sita bila kupewa kitu kingine chochote ata maji
  10. M

    Ni ngumu ila tujifunze kusamehe na kusahau

    Ni kweli inaumiza sana mi mwenzenu nilikuwa na uhusiano na mtu akaniambukiza vvu na akakubali kosa lake niliumia nikajua ndo mwisho wa maisha ila mungu alinipa nguvu nikasimama nikamsamehe ila sikusahau last year aliniomba msamaha nikajikuta roho imekuwa nyeupeee baada ya apo akafariki nikasema...
  11. M

    Msaada wa Amoeba kwa mjamzito

    Ukitoa dawa za hospitali hakuna dawa mfano matunda au majani mengine ambayo c makali
  12. M

    Ni ngumu ila tujifunze kusamehe na kusahau

    Rafiki zangu najua uwa inaumiza mtu anaweza kukuharibia future yako na kukufanyia kitu kibaya adi ukaweka chuki moyoni ambayo ukaona watu wote wako ivo nakumbuka kuna mtu ameniharibia maisha yangu na nikagoma kumsamehe ila kama mungu siku niliyomsamehe tukakaa wiki akafariki adi leo nikajifunza...
  13. M

    Je, ni kweli wasichana waathirika wa vvu wamesambazwa vyuo vikuu vyote nchini?

    cjipi moyo nina elimu yangu najiamini sana tu na sina hofu yoyote na tatizo unaendekeza unyanyapaa ila kifupi hutakiwi kuogopa mapungufu uliyonayo dunia ni changamoto sasa wewe pata ugonjwa kata tamaa ndo utaijua dunia
  14. M

    Je, ni kweli wasichana waathirika wa vvu wamesambazwa vyuo vikuu vyote nchini?

    Wewe umefuata chuo kusoma au ngono unaonekana hujapevuka ivi unadhani kuwa na ukimwi ni mwisho wa maisha kwaiyo mtu akae bila kujishughulisha kwa kifupi mimi naishi na vvu tangu 2008 na nilisoma kwa bidii nikaingia chuo adi nimemaliza na nina malengo mengi na sifi leo wala kesho
Back
Top Bottom