Recent content by Maria92

  1. M

    Kutokana na changamoto za kibiashara mkoani Geita nafikiria kuhama mkoa, naomba mnishauri

    Huyu kama hapo shilabela tu analizwa daily akija Dar watamuibia hadi nywele. Bora aende simiyu huko
  2. M

    Kama sababu ni hii basi ‘’Kolomije boy’’ hawezi kutumbuliwa!

    Eti mwezi wa kwanza marope Imebidi nicheke kwanza
  3. M

    Roomate wa kike anahitajika

    Asante kwa ushauri mzuri
  4. M

    Roomate wa kike anahitajika

    Habari wanajf Husika na kichwa cha habari hapo juu. Nahitaji roommate wa kike tushee room pamoja ili kusave gharama za kodi Room ni nzuri na standard Mhusika akiwa hana vitu vingi au hana kitu itapendeza zaidi Rooom ipo mabibo mwisho Kodi ni 60,000 kwa mwezi Awe na hela ya miezi mitatu Mhusika...
  5. M

    Kama mpenzi wako wa kike anaishi dar maeneo haya..be carefully..

    Utafiti bila majedwali ya data na takwimu Ni sawa tu na umbeya wa wale wavaa.madela wa tandale kwa tumbo
  6. M

    Kama unataka kuolewa hii inakuhusu

    Wanaume wamebadilika wanawake pia webadilika mkuu Kwa sasa ndoa sio must ni option tu
  7. M

    Kama unataka kuolewa hii inakuhusu

    Kwa hiyo perception ya kutaka demu wako akuhonge wewe na mama yako sababu anataka ndoa. Basi maisha yako ni magumu zaidi ya huyu mdau hapa juu
  8. M

    Tusio na kazi tukutane hapa

    Idea tu imenijia kichwani Wengi wanaona aibu kufanya kazi ndogondogo ila ukivaa miwani ya mbao mjini hàpa hulali njaa.
  9. M

    Tusio na kazi tukutane hapa

    Karibu kwenye chama cha magraduaters wasiochagua kazi tuuze supu mkuu
  10. M

    Kampuni ya MeTL "Mo Dewji" yakanusha habari ya kufunga Viwanda vyake tarehe 20 Oct 2018

    Kama namuona uncle bakhresa akitoa tabasamu kalii baada ya kusoma hii post
  11. M

    Familia ya Mohammed Dewji yatenga Bilioni Moja kwa atakayefanikisha kupatikana kwa Mo

    Mi wanipatie hako kamilioni moja kangu ka kumuombea apatikane kananitosha
  12. M

    I Love you my wife, i really love you

    Isije ikawa maneno haya makali yanatoka baada ya kumfumania mchepuko wako ambaye ni chumba cha jirani kwaio hujui hata umuadhibu vipi By the way Kama yanatoka moyoni hongera sana mkuu Umechagua fungu jema
  13. M

    Wenye wapenzi/waume wasiochepuka tukutane hapa

    Inasikitisha sana maneno kama haya kutoka kwa mwanaume ambaye ametajwa kama ndio kichwa cha familia Bila shaka wewe utakuwa mwanaume wa dar
Back
Top Bottom