sanduku la posta nililotumia limefungiwa kisa halijalipiwa na mwenye nalo hayupo nchini kasafiri on top of that nimeitwa kazini je, nikienda bila barua mwajiri atanipokea?.........msaada wadau
kama tangazo husika limekutaka u-certify fanya hivyo kama tangazo halijasema "NO NEED".......ila jua tu kuwa hicho si gigezo cha kukufanya uwe short listed!!!...
na kwa jinsi swali lake lilivyo inaonekana hapo kwenye "Auditor" alimanisha "Editor"....kulingana na nature ya swali lake....."writer,author & editor" ni majina/vitu vinavyo endana lakini "auditor" haiendani na haina uhusiano kabisa na writer,author......
"jaribu kutumia common sense ndugu!......ktk maelekezo yangu sijaandika "primary court magistrate".....bali "magistrate".....& the issue here is that you dont even undestand the term "magistrate"....kwa nilivyo kuelewa uelewa wako unamanisha "magistrate" ni hakimu mahakama ya "mwanzo"...
mkuu, lawyers tunapata icho cheti kutoka "Law School of Tanzania" in connection with the AG's office....bila hiki huwezi kusimama mahakamani as a learned brother/sister..../advocate!barriester/magistrate/judge!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.