Recent content by marcusjl

  1. M

    Kuitwa kazini TanTrade

    sanduku la posta nililotumia limefungiwa kisa halijalipiwa na mwenye nalo hayupo nchini kasafiri on top of that nimeitwa kazini je, nikienda bila barua mwajiri atanipokea?.........msaada wadau
  2. M

    Kuitwa kwenye usaili Serikalini

    hapo kwenye watendaji wa mitaa/vijiji umeongopa ndugu mtoa mada
  3. M

    Certified copies Utumishi

    kama tangazo husika limekutaka u-certify fanya hivyo kama tangazo halijasema "NO NEED".......ila jua tu kuwa hicho si gigezo cha kukufanya uwe short listed!!!...
  4. M

    Kuna tofauti gani kati ya Writer, Author na Auditor?

    na kwa jinsi swali lake lilivyo inaonekana hapo kwenye "Auditor" alimanisha "Editor"....kulingana na nature ya swali lake....."writer,author & editor" ni majina/vitu vinavyo endana lakini "auditor" haiendani na haina uhusiano kabisa na writer,author......
  5. M

    Application zaid ya moja utumishi

    aksanteni kwa michango yenu wakuu.......inshallah somo limeeleweka.....
  6. M

    Application zaid ya moja utumishi

    sorry....utumishi wao hupendelea barua ziandikwe kwa mkono ama zilizochapwa....mwenye uzoefu tafadhali!
  7. M

    Professional Certificate

    "jaribu kutumia common sense ndugu!......ktk maelekezo yangu sijaandika "primary court magistrate".....bali "magistrate".....& the issue here is that you dont even undestand the term "magistrate"....kwa nilivyo kuelewa uelewa wako unamanisha "magistrate" ni hakimu mahakama ya "mwanzo"...
  8. M

    Professional Certificate

    mkuu, lawyers tunapata icho cheti kutoka "Law School of Tanzania" in connection with the AG's office....bila hiki huwezi kusimama mahakamani as a learned brother/sister..../advocate!barriester/magistrate/judge!
  9. M

    Dogo amegoma kwenda shule

    "huenda anajipanga kugombea ubunge mbeleni ambao hauhtaj kiwango chochote cha elimu as long as anajua kusoma na kuandika kiswahili na kiingilishi"
  10. M

    Sheria ya makosa ya jinai

    "law is reference", ndugu unaweza tusaidia provision/kifungu kipi na cha sheria ipi kinacho provide hivyo"
  11. M

    Ualimu na hadhi yake

    "you can not be a judge for your own cause"
  12. M

    Sheria ya makosa ya jinai

    "miaka ni 20 hakuna cha usku wala mchana apo!
Back
Top Bottom