Ccm ni ile ile,hata miaka iweje haiwez kuwasaidia watanzania,ccm hii hii ndo iliwaacha watu wajenge bondeni na ccm hii hii ndo inawabomolea watu nyumba
Hii ndo tz inayojitia ni kisiwa cha amani kumbe chaka la dhulma,unyanyasaji na ubakaji demokrasia,maandamano ndo njia pekee ya kuyaondoa haya majizi,hao polisi hawawezi kuwazuia watu 12+ milion waliopolwa ushindi,naamin hata hao polisi na wanajeshi ni miongoni mwa walionyeshewa mvua kwa kupolwa...
Hapa hakuna cha maamuzi ya wengi,haki na Uhuru wa mtz umepolwa,tz ya sasa inaongozwa kimabavu,hiyo 8 million ya jpm ni figures tu sio kura za watu,ni kura za watu wasiozid kumi walioamua kujimilikisha nchi
Huyo mkurugenzi,ndg mayeji ana undugu na stephen wasira,na alipata ukurugenzi kiundugu kipindi wasira alipokuwa waziri tamisemi,kwa kifupi ni kada wa ccm
Pigeni kura kwa wingi ndio dawa yao,watu waamke mapema sana,ikibidi SAA 11 alfajiri ili wakifungua tu vituo watu wamejaa na kuisha haraka ili Zoezi la kuhesabu lianze na kumalizika mapema hata kabla ya SAA moja jioni
Hakuna kurudi nyumbani,kura Zetu ndo zimebeba hatma yetu kwa miaka 5 na zaidi ijayo,hii biashara ya kumtoa raisi mfukoni haikubaliki,Sera za kila mgombea tumeziskia kinachofuata ni maamuzi ya wengi sio MTU mmoja aendelee kutuamria hatma yetu,piga kura linda kura zuia goli la mkono
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.