Hilo train la kizamani sana limeletwa la nn speed 160 kwa saa kwa hito train mwanza siku mbili tutaendelea kusafiri na mbasi traini lao watabebea mzigo ya bahresa kwenda bara
Ufaransa ipo inatembea km 350 kwa saa china ipo km 400 kwa saa japani ndio namba moja km 600 kwa saa
Unaenda kuleta...
Itakuwa umepata hasara kwa kuabudu kitu kisichokuwepo maisha yako yote kujinyima mengi kwa hofu ya uwepo wa mungu kumbe hakuna kitu hilo ni bonge la hasara
Si alisema ataendelea kukopa basi akope tu chawa wake waendelee kuchota mpunga
Ndungai alisema gii nchi itauzwa wakamwona mjinga sasa ngoja tuone tunakokwenda
Sasa wazambia wameshauzwa kwanunua mchina kila kona wanahusika wachina njia zote zinazohusu uchumi wa nchi wapo wachina
Hadi idara...
Sio kweli kazi zke zilionekana sio kama huyu mama anacheka tu
Halafu kuwafukuza faida yake nini wawafanye kama alivyofanywa bwana masamaki
Yule jamaa wa nyumba 75 na fedha alizojaza kwenye madiaba
Kwa oungozi huu cha moto tutakiona watu wanaiba matrioni na mabilioni ya fedha wayu huku mtaani...
Ni kweli ksbisa mkuu hawa mafisadi ndio kwanza ndio wamekaza kutafuna pesa za wavuja jasho watatafina hadi mifupa yetu
Hili shamba halina walinzi shamba limeachiwa mamyani acha tuvune mabua
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.