Kwa report hii ya mkaguzi wa fedha za Serikali CAG kuwa na upotevu mkubwa wa mabilioni ya fedha za wavuja jasho masikini wa Kitanzania, walah JPM angekula vichwa vyote na kujiongezea wapinzani wapya leo!
Nchi hii bila kitengo cha kuwapoteza hawa mafisadi ni sawa na kufuga mbwa kichaa mwenye uwezo wa kupanda na kuzalisha mitoto mingine yenye ukichaa Uleule
Huyu JPM anayesemwa kuwa ni mwizi,
JPM hana nyumba Ughaibuni kama wenzake! Hana hotel yoyote, hana mashamba na wala uwekezaji wowote ule nchini na nje Nchi!
Huo uwizi unaodaiwa kufanywa na yeye, alipeleka wapi na kwenye uwekezaji upi zaidi ya madaraja makubwa nchini na miundombinu mingine?
Leo tumeanza kupata mawaziri wanaohonga penzi kwa gharama ya M400+, hii ni nini kama siyo upigaji wa kodi zetu! Mawaziri kama hao, JPM kuwatimua kwenye ulaji, wasimseme vibaya kweli?
Tuna miaka miwili sasa mwamba hayupo! Je, ni lini sasa tutaambiwa alikoficha/alikopeleka hizo 1.5tr, ambazo zimesemwa na zimeendelea kusemwa kuwa alikwapua?
CAG, badala ya kuja na ubadhirifu wa manunuzi ya ndege kipindi cha JPM zinazokuwa zikidaiwa kuwa kuna ufisadi mkubwa, badala yake kaja na ubadhirifu ununuzi wa ndege ya mizigo iliyotolewa tenda kutengenezwa juzi tu na Rais aliyepo sasa,
Haya tuendeleeni kayalea haya majibwa kichaa kama yataona huruma kutafuna pesa zetu!
Nchi hii bila kitengo cha kuwapoteza hawa mafisadi ni sawa na kufuga mbwa kichaa mwenye uwezo wa kupanda na kuzalisha mitoto mingine yenye ukichaa Uleule
Huyu JPM anayesemwa kuwa ni mwizi,
JPM hana nyumba Ughaibuni kama wenzake! Hana hotel yoyote, hana mashamba na wala uwekezaji wowote ule nchini na nje Nchi!
Huo uwizi unaodaiwa kufanywa na yeye, alipeleka wapi na kwenye uwekezaji upi zaidi ya madaraja makubwa nchini na miundombinu mingine?
Leo tumeanza kupata mawaziri wanaohonga penzi kwa gharama ya M400+, hii ni nini kama siyo upigaji wa kodi zetu! Mawaziri kama hao, JPM kuwatimua kwenye ulaji, wasimseme vibaya kweli?
Tuna miaka miwili sasa mwamba hayupo! Je, ni lini sasa tutaambiwa alikoficha/alikopeleka hizo 1.5tr, ambazo zimesemwa na zimeendelea kusemwa kuwa alikwapua?
CAG, badala ya kuja na ubadhirifu wa manunuzi ya ndege kipindi cha JPM zinazokuwa zikidaiwa kuwa kuna ufisadi mkubwa, badala yake kaja na ubadhirifu ununuzi wa ndege ya mizigo iliyotolewa tenda kutengenezwa juzi tu na Rais aliyepo sasa,
Haya tuendeleeni kayalea haya majibwa kichaa kama yataona huruma kutafuna pesa zetu!