Wakuu hiki kipindi hawa wanaojiita maaskofu mbona wanahubiri siasa za ccm? Wanadai eti mfumo uliopo isibadilishwe kwakua tutarudi kuanza kuitafuta upya amani
Hawa watu wapuuzwe sana kwakua wanaleta chuki na upotoshaji
Samahani mkuu namaanisha umri wa 35 ni mtu mzima ambaye anahitahi kufanya mambo mengine ya maana zaidi ya kutafuta mke kwasababu naamini kwa walio wengi umri huo wanakua wamesha oa
Heshima kwenu wanajamvi,
Labda nianze kwa kusema yamenifika hapaa! Mimi ni graduate wa moja ya business related courses katika moja ya vyuo hapa nchini.Nimewahi kuwa na girlfriend wakati wangu wa chuo ila Drama zilinishinda and i decided to be single and the plan was successful.
Ila sasa...
mkuu umenena vyema sana kwakweli huu ni upoyoyo kama anaogopa kutoa talaka tafuta nyumba ndogo huku mwache yeye akae na wewe uwe unakuja kuangalia tu watoto ila papuchi yake na wewe susa kula the fresh one ila usiache kulipa ada na mazagazaga mengine ya watoto na usisahau kuondoka na hati za...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.