Ukiona hivyo jua una kazi muhimu sana hapa duniani n'a mambo makuu ya kushangaza ndio maana adui anataka kuukatisha ndogo zako kwa kukuuguza magonjwa ya ajabu. NINABATILISHA ROHO YA KIFO JUU YAKO KWA JINA LA YESU. AMINA
Mungu mwenye henzi hakuwai kuumba mtu kwa mfano wake alafu akamuacha. Na maandiko matakatifu yanakataa kufa katika umri wa ujana. Je ni makusudi ya Mungu ufe katika umri hui ? Kataa kifo cha kabla ya wakati kwa jina la Yesu . 2wafalme 17:1. Stisha kifo juu yako na upanue mipaka ya uhai wa...
Kijana mmoja afikishwa mahakamani kwa tuhuma za kumkashifu Raisi wa Tanzania mkoani kagera wilayani ngara. Afatilia utendaji wa serikali wa awamu ya tano kupitia mitandao ya kijamii.
Kwangu Mimi Ndoa uwa ina matunda yake hapo ni pawili pote pamekuwa na ukakasi jaribu kuturia kwanza atatokea wa type yako. Muombe Muumba wa mbingu na nchi atakjonyesha.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.