Hata mimi nikiwa mdogo kijijijini sikuwahi kukipenda hicho choo.
Ndio, kinahitaji usafi sana, kikiwa cha public huwa napata taabu sana, labda kuwepo na tishue nilisafishe.
Ni kizuri ukiwa nacho kwaajili yako lkn sio public
Ninafanya hivyo biashara.
Vinyozi ni wasumbufu kama Bodaboda tu.
Unatakiwa uwe mkali sana,nimewapa mkataba.
Lkn bado wanasumbua.
Barbershop nzuri wekeza kama 8-10M, ili ivutie watu wengi
Jamani,
Naomba kuuliza. Ninatarajia kufungua biashara ya kufua nguo na kupasi. Je ninaweza kupata kipato kizuri cha kujikimu?
Hii biashara ili nipate faida, nifanyeje?
Je, nitapataje zile kemikali za kufua bila maji? (DRY CLEANING?)
Nataka kufanya biashara ya Saloon au Barber shop, natafuta anayeuza viti na vifaa vingine. Nipo tayari kwa biashara kwa haraka sana.
Nipo Dar.
Mawasiliano: 0622686575
yap, mimi JUmamos juzi, nilitokea airport hadi Kifuru shule ya msingi, safari ambayo haina foleni lakini nililipishwa shs 20,000/= kiasi cha pesa ambacho sijawahi kulipa tangu nimeanza kutumia usafiri wa uber. nafikiri niliibiwa hapo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.