Mpeleke kwenye hospitali alipo pangiwa kujifungulia anakitu kinaitwa overdue tiba yake nikuanzisha uchungu (induction) au kama atakua na vigezo vingine atajifungua kwa opareshen caesarian section )
yawezekana kuna mahali unakosea mahusiano uliyo nayo hayakuwa na malengo? kuna umri ukifika lazima utofautishe boyfriend na mchumba, pili kuwa makini sana kusikiliza na jipe muda kujibu, angalia vigezo vyako unavyovitaka kwa mmeo pengine vimekua vigumu kulingana na maisha ya kijana bachelor...
hivi nilazima uende chuo kikuu iliujue mdahalo wa wagombea Uraisi unawahusu Wagombea wenyewe? mbona mnataka kubadili rangi ya kaniki kuwa nyeupe wakati asili yake nyeusi!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.