haya mambo haya. kama ukiwa na uelewa mdogo na finyu kama kafulila lazima uingizwe chaka kwa kweli. ona sasa jamaa anavyojifedhehesha namna hii. karukia treni kwa mbele.
hizi habari zenu za kimbea mbea bila kuweka source of informations mtalifanya jukwaa lisionekane kama chumba cha Great Thinkers. hebu badilikeni jamani.
sio kila unapogombana na jamaa yako huko unakimbilia JF kupost ili kumkomesha, huo ni utumiaji mbaya wa BANDO ZETU kwenye simu tafadhali.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.