Recent content by Mapya Yaja

  1. M

    JamiiForums Tanzania Serikali tunaomba mruhusu uhamisho wa watumishi

    Kuwanyima watumishi uhamisho kwakweli serikali imewaumiza kuliko hata nyongeza ya mishahara
  2. M

    JamiiForums Tanzania Smart phones nyumba za ibada, no please!

    Matumizi mabaya ya teknolojia hayawezi kuwa hoja ya kupinga matumizi ya teknolojia. Hizo Picha chafu na uchafu wote uliotaja si programs zinazotengenezwa na Simu bali mtu anaweka mwenyewe kutokana na dhambi iliyo moyoni mwake. Utakatifu wa neno la Mungu hauko ktk material lilipoandikwa bali neno...
  3. M

    JamiiForums Tanzania Ninasumbuliwa na chunusi usoni

    Tumia tube inaitwa Persol 5 itamaliza kabisa, inauzwa maduka ya dawa baridi Tsh.3500/= hadi 4,000/=
  4. M

    JamiiForums Tanzania Kampeni ya kuikataa Vodacom

    Ila kwakweli hata matapeli wengi wa mitandao wako sana vodacom, wale wa mara pesa imetumwa kwako kimakosa, tuma ile pesa kwenye namba hii na meseji za ndagu hutaviona kwingine ispokuwa vodacom
  5. M

    JamiiForums Tanzania Serikali wapeni uhamisho watumishi wa umma hasa walimu! Ndoa zao zipo hatarini. Au wapeni maslahi mazuri wahamishe familia zao.

    Mtu mzima mwenye akili timamu hawezi kusema hayo uliyosema, inaonekana hats maana ya ndoa name familia hujuiOTE="bhikola, post: 32122334, member: 76516"] Yaani mashudu matupu umeandika, Ni sawa na mwanamke anayeamua kuwa malaya kwa kisingizio cha maisha magumu, Je, angekuwa mwanaume angekuwa...
  6. M

    JamiiForums Tanzania Tanzania yaitwa Rot!, Wapinzani Wahongwa Milioni 60! Zitto Tishio kwa JPM, Wasomi Wetu Waitwa "Sycophantic Academics"!, is This True?, Is it Fair?.

    Mayala wewe ni mjanja sana kwa kung'ata na kupuliza, ona sasa umetusaidia kuichambua habari vizuri mpaka nimeamua kuwa nawafuatilia hawa jamaa
  7. M

    JamiiForums Tanzania Ushahidi: Jinsi waliosaidia CCM kwenye uchaguzi mkuu 2015 wanavyoteseka

    Usimsahau na Peter Zakaria
  8. M

    JamiiForums Tanzania Nahisi marehemu alirudi kuniaga

    Mhubiri 9:5 Wafu hawajui lolote Zaburi 115:17 Wafu hawawezi kumsifu Bwana Kumb. 18: 11 Msiombe wafu 2Wakor. 11: 13-15 Shetani na malaika wake (Majini/mapepo) hujigeuza wawe mfano wa waliokufa ili kupotosha neno la Mungu . Kwa kifupi huyo uliyeota sio Grace bali unaongea na pepo kwenye ndoto...
  9. M

    JamiiForums Tanzania Mkuu wa Mkoa wa Arusha aamua kuachia ofisi na kwenda shule ya Msingi kufundisha

    Huyu kachangañikiwa si bure! nani kamwambia shule ya msingi kuna upungufu wa walimu wa sayansi? Kule mwalimu yoyote anafundisha somo lolote. Aende sekondari huko ndo kunahitaji walimu wa sayansi. Yaani Magu amefundisha wasaidizi wake kupenda kiki za kitoto kabisa! Eti std vii sayansi? Ujinga mtupu
  10. M

    JamiiForums Tanzania Kwanini sanduku la sadaka kanisani linafungwa kufuli?

    Kumekuwa na tabia ya wakusanya sadaka kudokoa pesa kutoka kwenye masanduku wakati wa kukusanya ndio maana yanafungwa ili yafunguliwe mbele ya watu zaidi ya mmoja wakati wa kuhesabu
  11. M

    JamiiForums Tanzania Si kauli zinazopaswa kutoka kwa Mh Rais

    Limbukeni na washamba wamepewa nchi hatuna namna ni mpaka Mola aingilie kati.
  12. M

    JamiiForums Tanzania Marais wa Vyuo Kikuu Tanzania (TAHILISO) wagoma kuunga mkono maandamano

    Kwani waliombwa na nani kushiriki maandamano. Mbona wanajitekenya
  13. M

    JamiiForums Tanzania Kutumia magari ya thamani kwenye harusi ni ujanja au ushamba?

    Wangewarusha roho basi kwa hela zao kuliko kuonyesha mbwembwe kwa michango ya watu
  14. M

    JamiiForums Tanzania Yawezekana lengo la CHADEMA si kuchukua Dola

    Umeandika ukweli mtupu, Chadema ya Mbowe na Lowassa haiwezi kuleta jipya kwenye nchi hii.
  15. M

    JamiiForums Tanzania Vurugu kubwa shule ya sekondari Lyamungo leo tarehe 1 March 2018. Shule yafungwa!

    Kwa sasa vijana wengi wameanza kuona elimu yetu isivyo na maana, hata ukisoma ajira hakuna, kwa nini mtu akunyanyase kupata elimu ambayo haikusaidii chochote?
Back
Top Bottom