Mkuu inauma sana, sisi tuko km saba hv tulipandishwa mara ya kwanza hatukulipwa tukapandishwa tena hatukulipwa, tukaambia madai ya mshahara tusijaze yatalipwa automatic( hayo madeni ya kwanza tulijaza form mara mbili mbili). Lakini wote majina yetu hayamo. Yaani hatujui tufanyaje.
Prof. Mahmaod Mamdani has everlasting contribution in the world academia. He is a leftist not liberal. The petition seems to have come from liberals. Is this the conflict of ideology on how the bussiness should be conducted at Makerere?
Alichokosea Mtulia ni kusema amejiuzuru kumuunga mkono Rais(Serikali) badala kusema amejiuzuru kukiunga mkono CCM kwa kuisimamia vyema serikali. Hii ingeleta maana zaidi kwa kuwa inaendana na majukumu yake ya kibunge, hilo alilosema yeye linapingana na majukumu yake ya kibunge.
Kwikwikwikwi anawaachia lichadema lao , hapa ndio naona CCM chama la watanzania wote likiendelea kupendwa na watanzania na kushika hatamu miaka mingi baadae.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.