Recent content by Mapunu jr

  1. Mapunu jr

    Je, biashara ya Movie Library na Play Station (PS) bado zina soko kwa sasa?

    Inategemea na location mkuu sio wote wanaiweza technology
  2. Mapunu jr

    Ijue biashara ya nywele bandia faida na changamoto zake

    Weaving na vikuku ( mawingu) yana bei gani jumla???
  3. Mapunu jr

    Natafuta masoko ya Nafaka mikoani

    Usafiri upo mkuu kwa mtu anae taka kuleta kagera
  4. Mapunu jr

    Naomba kujua bei ya pumba huko uliko

    Mkuu kama unaweza leta na kagera debe elfu tano pia pumba ya mahindi
  5. Mapunu jr

    Kati ya Ukerewe Mwanza na Kigoma wapi panaongoza kwa uchawi?

    Habari za jioni wakuu . Twende moja kwa moja kwenye point wakuu kumekuwa na usemi kwamba ukerewe Mwanza na kigoma kuna uchawi mwingi sana,. Swali je kati ya kigoma na ukerewe mwanza wapi panaongoza?? Wenyeji wa maeneo ayo mkuje apa mutueleze.
  6. Mapunu jr

    Ushauri wenu: Biashara ya duka la reja reja

    Mkuu unafahamu kusababu vizuri apo laki na nusu iko wapi ulipo iona????😃
  7. Mapunu jr

    Biashara gani naweza kufanya nyongeza kwenye stationery yangu

    Apa unahitaji mtaji kiasi gani kuanza hii biashara mfano mpesa, tigo pesa na Airtel money pekee?? Msaada wakuu
  8. Mapunu jr

    Natafuta mganga wa kienyeji konki

    Kwa alieko mwanza naitaji mtaalam mkweli
  9. Mapunu jr

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Wakuu 3 way hand cup ina maana gani katika betting
Back
Top Bottom