Recent content by maprda

  1. maprda

    Wanaume kwanini mkimaliza kufanya mapenzi mnakimbilia kunywa maji?

    Unatoa maji unaongeza naji,upo hapo?Tunamwaga maji ndio màana tunaongeza ili kufdia yaliyomwagwa.Thanks for....
  2. maprda

    Ilikuwa ni lazima Masogange afe?

    Bora 3 mzuka,mshiko nje nje.Walinena
  3. maprda

    Nipo idara sekondary nataka kuhamia primary nifanyeje?

    Mbona hyo 3mzuka!Safi sana kwa kujutoa ingawa nmenusa lengo lako
  4. maprda

    CAG: Makato ya Bodi ya Mikopo toka 8% - 15% yanakiuka Sheria; kuna watumishi wanateseka na makato makubwa

    CAG anajua majukumu take.Safi sana,nami naendelea kutimiza japo mkuki moyon ila cna namna
  5. maprda

    Kuvutiwa na kutamani makalio ya mwanamke halafu huyatumii

    Ulifikiria namna ucvyohis chochote unupokua faragha ukaona usiumize pekeyako.Siri ya mtungi aijuae kata......bro
  6. maprda

    Mbunge wa Ulanga, Goodluck Mlinga (CCM) ahoji Bibi kuvaa wigi kwenye Nembo ya Taifa

    Hebu tuliangalie tena wadau,analosema lina maslahi ya Taifa?Kama No maslahi achangie yenye tija kwa Taifa na kama hana anyuti tu.Posho c atapata tuuuuu,alaaa..
  7. maprda

    Ni kwanini Libya imekuwa wimbo wa CCM linapokuja suala la wananchi kuandamana?

    Think b4 leap,that's why wanajua wanchofanya.Libya n mfano HAI
  8. maprda

    Trade War: Baada ya China kujibu mapigo,Marekani yarusha kombora lingine

    Nataman niwepo qenye kikao cha kusuluhisha mgogoro huu mapema iwezekanvyo maana usishangae NGANO anayozalisha Bhakhresa tukanumua Mara 2/3 ya bei ya sasa.Hii vta kwetu haina tija
  9. maprda

    Ushauri: Nimempa mimba binti ambaye si wa ndoto zangu

    Faida hiyo ndg,acha kukuful,mleeni.Wengi wanahangaika kumtafuta chalii au nawe ulikataliwa na mzazi m1 so unataka kulipza ksasi!Haipendezi
  10. maprda

    Tetesi: Kweli Magufuli na msafara wake wana roho mbaya hadi GARI za wagonjwa zazuiliwa, bora yeye apite

    Hata nawe upo kwenye msafara huo,c mhe tu.Kifo hakina mwinyi
  11. maprda

    Wanachama 23 na viongozi wa CHADEMA wakamatwa Mahakama ya Kisutu, wapelekwa kituo cha Polisi cha kati

    Sheria ya kazi yao inawataka kufanya hivyo,acha kulalamika
Back
Top Bottom