Huyu nyoka ni mwamba kweli, ndio maana sio rahisi kuonekana hovyo. Kuna aina mbili za koboko,black mamba na greeni mamba. Yawezekana ambaye tunamuona ukanda wetu ni either green au black mamba. Ila marafiki nyingi huku huyu nyoka ukimuona na ukamchokoza hua ni mkorofi sana. Ukiwahishwa kituo cha...
Sio kweli. Moja ya nyoka mpole na mstaarabu ni black mamba(koboko).
Mara ya mwisho kumuona live ni Oktoba 2024 njiani. Mara baada ya kumuona nilisimama umbali wa mita 7 au 8 hivi. Kuonesha sio mshari,alikaa kwa takribani dakika 5 akiwa ametulia palepale. Kisha baadae alianza kuondoka taratibu...
Nilifeli kujenga kwa ramani hii,ila niliishia kujenga nyumba ya vyumba viwili kwa ramani inayokaribia kufanana na hiyo ambapo yenyewe niliondoa dining pamoja na single room moja ikabaki master, single moja na jiko ila public toilet ili kakaa nje.
Bati zilikua 72 ,ila mbao sikumbuki vizuri kwan...
Hekari moja hutumia mifuko 5 ya mbolea. NPK 10:18:24 mifuko 4 na CAN 27 mfuko 1.
Heka moja huzalisha kilo wastani wa 560kg hadi 1000 kg kutegemea na matunzo yako shambani ikiwa ni pamoja na kupanda mbegu bora,uwekaji mbolea kwa kuzingatia vipimo sahihi vilivyopendekezwa,palizi kwa...
Zoezi la kwanza ni kuweka makisio ya kiasi cha hekari za tumbaku ktk cham cha msingi unachotarajia kulimia ili uwekwe kwenye orodha ya mgao WA pembejeo. Baada ya hapo ni kujenga nyumba za kuchomea tumbaku yaani mabani.
Mabani hujengwa kwa tofali mbichi au zakuchomwa.
Hatua inayofuata ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.