Recent content by Mapigo1

  1. M

    JamiiForums Tanzania Maswali 10 kwa Vodacom Tanzania!

    MJUMBE HAUWAWI! NAFIKISHA TU MESEJINILIYOIKUTA KWENYE BLOG MOJA:Maswali 10 kwa Vodacom Tanzania :Leo si siku ya 12 tangu promotion yashinda mamilioni ya jaymillionsilipoanzishwa na Vodacom Tanzania lakiniimekuwa ikilalamikiwa na watu wengikwenye mitandao ya kijamii na na mitaanikuwa "vigezo na...
  2. M

    JamiiForums Tanzania Maswali kumi kwa Edward Lowassa na Wafuasi wake

    HIVI HIZI NI KASHFA DHIDI YA LOWASA AU NI FACTS? Nekutana na maswali fulani kwenye mitandao ya kijamii yakiwa yanamgusa E.Lowasa, binafsi sijaelewa kama ni kashfa za makusudi dhidi ya EL au ni facts 1 .Edward Lowasa gazeti la Raia Mwema la Novemba 2010 ,liliripoti na kuonyesha picha ya...
  3. M

    JamiiForums Tanzania Rais Kikwete aongea na Wazee wa Dar: Adai pesa za Escrow ni za IPTL. Uteuzi wa Tibaijuka watenguliwa

    Da huyu mzee mswahili sana!
  4. M

    JamiiForums Tanzania Rais Kikwete aongea na Wazee wa Dar: Adai pesa za Escrow ni za IPTL. Uteuzi wa Tibaijuka watenguliwa

    Huyu mzee hatumuelewi hata huyo jamaa aliyekaa hapo nyuma yake anasinzia mbaya na kama sijakose ni Usalama wa Taifa!!!
  5. M

    JamiiForums Tanzania Nape Nnauye atoa Tamko Maalum la CCM kuhusiana na Uchaguzi wa Serikali za Mitaa nchini

    Nape wew nani asiye kujua kwa kubwabwaja..Unasahau ulivyokua ukinunua Dad poa hapa Arusha na kulala nae Pale Ngurudotto Hotel???? Kwanza ni mapema sana kutoa tathimn kwasababu matokeo meng hayajatumwa TAMISEMI na Sehem nyngn zaid ya 30% uchaguz haujafanyika...
  6. M

    JamiiForums Tanzania Msaada tafadhali, kuna anaemjua huyu dada ? Very urgent

    Pdidy Nenda pale Fb kuna Group la Wataalam wa IT watakusaidia vilivyo
  7. M

    JamiiForums Tanzania Uchaguzi Serikali za Mitaa 2014: Matokeo kutoka nchi nzima (TZ Bara)

    Kijenge kimenuka saf sana CHADEMA
  8. M

    JamiiForums Tanzania Uchaguzi Serikali za Mitaa 2014: Matokeo kutoka nchi nzima (TZ Bara)

    Themi Mtaa wa Aicc Flats Chadem imekomba viti vyote na kuitupilia mbali kabisa
  9. M

    JamiiForums Tanzania Biashara ya matunda

    Huhitaj kibali kwa Experienc yangu Ukiwa na Frem kama Ile ya Chps ndo inakua vzr zaid... Pia friji ni Muhimu kaka kwaajil ya kuhifadh matunda yapate ubard na yasiharibike!!
  10. M

    JamiiForums Tanzania Yanayojiri Bungeni Dodoma: Leo Jumatano, Tarehe 26 Novemba, 2014

    Kwa mujibu wa saa yangu zimebaki Dakika 51:::
  11. M

    JamiiForums Tanzania Kumuona Daktari Tsh.10,000/=

    Hyo mbn kidogi mkuu Kuna Hosp moja Pale Arusha kwa Dr Urassa ni Tshs 50,000...
  12. M

    JamiiForums Tanzania Ripoti ya PAC kuhusu Escrow Kusomwa Jioni Bungeni

    Anakuja kesho!!!
  13. M

    JamiiForums Tanzania Vodacom mnaboa: Ndani ya mwezi nimenunua vifurushi vya internet vya zaidi ya Sh. 60,000/=

    Vodacom mmekuwa wez wakubwa mnatuibia sana!!!!
  14. M

    JamiiForums Tanzania Nyota ya Naibu katibu mkuu wa CHADEMA Zanzibar Salimu Mwalimu yang'ara

    Kila la kheri kamanda!!!
  15. M

    JamiiForums Tanzania JF Exclusive: CAG Report on IPTL/Tegeta Escrow Account

    Wauachie mzigo tunausbr kwa ham kubwa
Back
Top Bottom