Recent content by Mapenzi Basi

  1. M

    Taasisi yafutwa kwa tuhuma za ushoga Tanzania!

    duh! bora mmetufahamisha hatukujui hili maana ata kwenye kikund chetu walitoa msaada kukiendeleza kingamboni sanaa group,kama ni kweli bora lifutwe ni ujinga huo kumbe ndio maana
  2. M

    Mwanamke mwenye miaka 40

    Natafuta mwanamke wa kuoa awe kati ya miaka 40 na kuendelea mpaka 50,awe dini yeyote mimi nina miaka 25 nipo temeke sudan kama upo sirious Tafadhali usichelewe namba hii 0779293189, Akipatikana ni ndoa tu.
  3. M

    Je unatafuta mchumba(mke au mume)? Pata hapa

    natafuta mwanamke wa kuoa mwenye miaka 41 mwisho 50 mimi nina miaka 24 nipo temeke sudan,akipatikana ni ndoa haraka sana na awe din yeyote kaz yangu ni argent wa mabas yaendayo mkoan namba#0779293189 nipo sirias jaman
  4. M

    Huyu houseboy simuelewi jamani

    hapo vungen kama mnataka kuuza hako kamfugo na kumwambia kaz basi ili akiweweseka mwambie kama anataka aendelee kaz lazma atumie dawa,au fanyen kama mnampeleka pale kituo cha polis huenda akaogopa na kaacha kutongoza jilan na huyo housgal
  5. M

    Kuna mabinti ukikutana nao mara moja utatamani ukutane nao tena na tena...

    nadhan wameelewa tena vizur bila shaka tunataka mabaliko
  6. M

    Hivi huyu aliyetuma hii E-mail ndio mjinga au mimi ndio Mjinga?

    hahaha hiyo inaitwa clases ya wajinga,ukimjibu utaona ujinga wenyew,full utapeli na mauji yanafanyika hapo
  7. M

    Hodi Kidogo Jaman

    Hodi Kidogo
  8. M

    Nimepata zali toka toka kwa Liberian girl

    Hahah pole sana wapo wameshatapeliwa kupitia akaunt zao za bank na wengne wamefanyiwa kitu mbaya na hao wapuuz wanadanganya watu at liberian girl.kuna mwingne alitumia email joyharry233@hotmail.com akinieleza ivoivo at anataka msaada wangu alichoambulia ni matusi ya maana.ivo angalia sana kijana...
Back
Top Bottom