Recent content by MAPE2012

  1. M

    GE2015 Yaliyojiri katika vikao vya CCM Dodoma - Julai 10-12, 2015. Magufuli achaguliwa kuwa mgombea Urais

    kwani lowasa ana kosa gani tusimhukumu mtu bila kujua
  2. M

    Zitto: Wapambe wametufitini na Mbowe

    Lini anaondoka?Aondoke siyo atuzingue kwani yeye Mungu
  3. M

    AZSKY G6: Please share your experience

    Cha kwangu hakioneshi kabisa
  4. M

    Channel List ya G6 yako!

    Mimi sipati chochote
  5. M

    Madudu Mengine Elimu

    Mh. Mbatia ni jembe basi i wish ningekua rais bila kujali anatoka chama gani ningempa uwaziri wa elimu
  6. M

    Spika Makinda amewithdraw kuwasilishwa kwa hotuba ya wizara kivuli ya Katiba na Sheria

    iwekwe mtandaoni watanzania tujisomee wenyewe
  7. M

    Juliana Shonza: Mimi bado ni Makamu Mwenyekiti BAVICHA...!

    Hawa ndo waliahidiwa hela na Wassira na kudai chama kitakufa ndani ya mwaka mmoja sasa tumewajua kulaleki waache umagamba wao kwani wanatuchefua sana
  8. M

    Kuhama analogia kwenda digitali kuna tija/ufanisi wowote?

    Kwani ving'amuzi vya startimes ni mradi wa nani?kwani kwangu kina scratch za kufa mtu na sometimes unasikia sauti bila kuona picha hii nchi naona kila kitu wanafanya dili
  9. M

    Haya ndiyo matokeo ya kukimbia shule, masikini CHADEMA...

    Kwa kweli nape umekwisha kifikra sikutazamia umebaki kama yale mavuvuzela ya wakati wa kombe la dunia pole sana. Huwezi hata siku moja ukajilinganisha na jj mnyika
  10. M

    Tendwa sasa atishia kukifuta CHADEMA

    wao wana tendwa sisi tuna MUNGU haki ya mtanzania haitapotea hivi hivi
  11. M

    Kamanda Kamuhanda: 4 Songea, 1 Iringa

    hii nchi sijui viongozi wetu wanatupeleka wapi kila siku kuua raia wasio na hatia tutike seheme tuseme basi imetosha
Back
Top Bottom