Recent content by MAPARA ZNZ

  1. M

    Rais Samia awapa shavu Wazanzibar: Ajira asilimia 21 za Muungano kuwa za Wazanzibar

    Tulieni nyinyi mwaka mmoja kelele kibao SI tushavumilia nusu karne mauzauza ya muungano huu lkn ilikua tukisema mnatia pamba maskioni tulieni kidogo nanyi mle matunda ya muungano wa mfano duniani😁😁
  2. M

    Majaliwa hana mamlaka Zanzibar

    Watu 3678 kama sijakosea:(:(
  3. M

    Dkt. Bashiru: Baada ya mzee Kikwete kuingia kura zetu (CCM) zilianza kuporomoka

    Na huyu baba ubaya katengeneza sio ufike mda tuwe na aibu ccm oyee🤣🤣🤣
  4. M

    Upinzani ulioasisiwa na mwalimu Nyerere umefeli, Je turudi kwenye mfumo wa chama kimoja?

    Watu wanasema hali ndio hii siku mkirudi chama kimoja ni bora tu nkaombe uraia syria najua kazi yangu ni 1 war
  5. M

    Uchaguzi S/Mitaa 2019: Wagombea wa Upinzani asilimia kubwa wameenguliwa kugombea, CCM wengi wapitishwa

    teh teh teh kicheko si furaha 😉😉ccm oyeeeeeeee naomba uhai nione mwisho wa season hii ya kata kata na kushinda bila kupingwa poleni ndugu zetu wa dam huku kwetu zenj tushayazoea zaidi ya hayo
  6. M

    GE2020 The end justifies the means. CHADEMA itumie mbinu za kijasusi kuuondoa mfumo CCM madarakani

    kama sikuhofia ban humu jamvini ningechangia kitu lakini 😒😒
  7. M

    Sababu ya ndege yetu kushikiliwa Afrika Kusini

    kwani alikopa mtu au serikali ?teh teh teh hata ivo wamekusikia mkuu
  8. M

    Air Tanzania ni bomu linaloandaliwa kuimaliza awamu ya 5

    Hisabu hii ni ya bagazijuto au vipi hata hivo sio mbaya bilion 3 kwa kuingiza 6 ?ni vizuri kuota
  9. M

    Tundu Lissu: Kwa mara nyingine tena Rais Magufuli ametoa kauli yenye ukakasi mkubwa kwa Uhuru wa Mahakama

    Soma vizuri lisu amefafanua nini some time sio lazima kuandika comment unaweza kua kimya tu
Back
Top Bottom