Zitto Kabwe kumbe huko cynical kiasi kaka mkubwa, jaribu kufikiri kuhusu mikataba na gharama zilizotumika siku hiyo, tunataka tuone uzembe uliofanyika huko zanzibar unachukuliwa hatua, hebu kumbuka ishu ya uwanja wa taifa na meneja mpaka leo kuna nini? mikataba mibovu ya umeme, trl, hizo...