"hv ukifikisha miaka 50+ uzeen ( yaan hapo utakuwa huna hata nguvu ya kunyanyua ndoo ya maji) nani atakuwa anakuhudumia au ndo utaenda kuji attach kwa ndugu" ?
Kuna jamaa yangu huyo ana changamoto kama hizo, unakaa nae kumpa mbinu akitoka hapo anarudi kwa shemej kulialia anakutajamo na mbinu ulizokuwa unampa yaan ni hatari.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.