kawaida chuo kinakuwa kimeandika kwenye website yake, yaani kwenye maelezo ya kwenye website ukiona chuo kinasema kiko "under project 211" au kipo "under project 985", ujue hiko chuo ni bora. Kwakukusaidia kuelewa vizuri, fungua website ya SICAS kisha ingia kwenye list ya vyuo vyao, ukifungua...
Vyuo vikuu bora China ni vile ambavyo vimepewa na serikali yao title inayoitwa "national project 211" au "national project 985". Nakushauri uangalie kama hiko chuo kina title hiyo. Wengi hawalijui hili jambo wanapoapply vyuo vya China
Jpm akiteua wakuu wapya wa mikoa amtose Mulongo sababu huyu hana credibility kabisa, tuangalie kutoka udc Bagamoyo nyumbani kwa mkwere hadi urc Arusha hakukuwa na kigezo chochote cha msingi. Nitashangaa akipewa tena ukuu wa mkoa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.