Nape angejiimarisha kisiasa kama angeliongelea namna nchi yetu ingejitoa katika ufisadi uliokubuhu,
chaguzi zinazotawaliwa na rushwa, mfumuko wa mkubwa wa bei, nk nk
Lakini kwa hili la kusimamia kadi ambayo haina uhusiano na maisha ya watanzania, nina mashaka na uwezo wake kisiasa na kiuongozi