Recent content by manzuki

  1. manzuki

    Serikali: Stiegler's Gorge ipo katika ilani ya CCM

    hapo mm sijaona serikali ilipotikisika ila nape ndoo anazidi kutikisika hajaelewa maana ya serikali ya viwanda kuwa lazima kuwepo umeme wa uhakika ndiyo maana mkuu wake aluzunguka nchi nzima akinadi ilani yake kuwa ni tanzania ya viwanda, sasa sidhani kama bila huo umeme wa uhakika kunaweza...
  2. manzuki

    TRA yatoa ripoti ya makusanyo ya kodi kwa miezi 9 kwa mwaka 2017/18

    nawaletea chuma hiki !!!jk aliona mbali sana kuleta chuma jpm
  3. manzuki

    Meya wa Jiji la Arusha amemchoka Godbless Lema?

    lema sasa hivi hana chakuongea zaidi ccm imemzdi ujanja hapa mjn,anafkria ni zama za ni heshima kubwa kwa mungu kumzomea mwizi fisadi kama lowasa, sasa hivi hana akiba ya maneno kila siku anahubiri demokrasia na kuonekana kwenye camera akizika mbwa wa nasar,arusha haturudii makosa tena
  4. manzuki

    Rais Mstaafu J. Kikwete: Safari zimenifunza ni heri "Mtembea bure kuliko Mkaa Bure"

    safar zako ulizfaidi ww mzee wa msoga na washirika wako, kiujumla utawala wako mm hakuna nilichokipata zaidi ya kusikia pesa za serikali znavyokuwa znatafunwa na wateule wako
  5. manzuki

    Wakuu wa vyombo vya ulinzi na usalama kushiriki kusimikwa Askofu Arusha

    jiulize sasa wewe yawezekana unajua dini zao,mimi nimesema tu kusali naye siyo tatizo na siyo dhambi
  6. manzuki

    Wakuu wa vyombo vya ulinzi na usalama kushiriki kusimikwa Askofu Arusha

    mkuu kwa hyo hutaki wasali au kwasababu wameongozana na raisi
  7. manzuki

    Nani amewahi kula hii kitu?

    umenikumbusha mbali sana mkuu[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
  8. manzuki

    Ndio mtajua kwamba serikali hii ni rafiki kwa Jeshi la Polisi...

    mhhh thread yako imejaa upupu,si kila taarifa lazma raisi aseme huwezi kujuwa ni mikakati ipi inafanywa na wizara husika,kwa hyo ulitegemea akiwa pale aongelee ya walimu na afya?
  9. manzuki

    Mkopo wa mshahara

    mm nmepata mkuu huenda hukopesheki
  10. manzuki

    Tetesi: RC Gambo adaiwa kupigwa kwenye Mkutano wa CCM Arusha

    kichapo hata kapcha hamna mhhh huu uzi ni wamashaka makubwa
  11. manzuki

    Zitto: Kuwasweka ndani viongozi wa CHADEMA ni tishio kwa demokrasia

    siyo tishio kwa democrasia hakuna mtu yeyote aliye juu ya sheria, unahubri democracy ipi zitto, unafiki mliokuwanai enzi hizo ndoo unawafanya muwe hivo sasa hivi pesa hamuwezi kupiga,baada ya kuona hivo mmeona ni bora kila siku tuandae matukio ambayo ni hatari kwa taifa letu, hoja hamna...
  12. manzuki

    Lema: Nimepata taarifa za ndani kuwa ninatafutwa na Polisi baada ya mkutano na waandishi wa habari

    siku zote hakuna aliyejuu ya sheria uongozi wote kuwa ndani haimanishi kwamba wao wanaweza kufanya chochote wakaachwa, kabla hujahubri democracy angalia viongozi wako kwenye mikutano ya siasa wanayowahadaa wananchi ukisha angalia hayo jiulize democracy safi ni matusi na kuftinisha serikali na...
  13. manzuki

    Diamond: Wema ndo mwanamke aliyekuwa akiniliza

    huyo kijana mabinti kama wema wasaka noti watamwacha mweupe pesa nimaua zinapukutikaga kama zari anamuona hafai atakuja kumjua anafaa mbeleni.
Back
Top Bottom