Njoeni muone huku jamani
Una upeo mdogo sana wa kutafakuri mambo.Majizi chadema wamebanwa Kila Kona hawana pa kutokea.
Asante rais Magufuli
Sasa si ndio zimekusanywa, wewe ulitaka zikusanywe na bado ubaki nazo?Dah matirion yote hayo sasa mbona kitaan hali ni ngumu sana
Hongera mamlaka
Jamani Msaada Kwa Anayeweza Kunisomea Hizo Pesa Maana Mi Nimeishia Kutaja Namba Moja Moja Mfano Kumi Mia Tisa Tisini Na Saba Mia Moja Arobaini.Huu wote ni Uwongo, Hapa kama nusu ya hizi ni kweli tunatakiwa Tukatambikie. Serikali ya Magufuli ni ya Hadaa na Usanii, Hapo zipo mpaka za Marejesho ya Exports! Kuna watakaobisha! hata hiyo nembo ya TRA, Kuifanya Digital ili iwekwe kwenye Reports Niliiweka mimi 1998!
Ni Trilions, Na Ukitaka Kusoma Kirahisi Unaround Up eg Mwezi February, Unaweza Kusema Ni Trilion 1.12 Kwa hesabu za Ki Hapa kazi Tuu, Ila Ukitaka Kujua Ukweli Unazidisha kwa 0.65 Utakuta Mwezi Feb. walikusanya Kama Bilioni 700 hivi. Na hapo tu Ni Muujiza!Jamani Msaada Kwa Anayeweza Kunisomea Hizo Pesa Maana Mi Nimeishia Kutaja Namba Moja Moja Mfano Kumi Mia Tisa Tisini Na Saba Mia Moja Arobaini.
kweli kabisa huu ni UWONGO ULIO DHAHILI KABISA.Ni Trilions, Na Ukitaka Kusoma Kirahisi Unaround Up eg Mwezi February, Unaweza Kusema Ni Trilion 1.12 Kwa hesabu za Ki Hapa kazi Tuu, Ila Ukitaka Kujua Ukweli Unazidisha kwa 0.65 Utakuta Mwezi Feb. walikusanya Kama Bilioni 700 hivi. Na hapo tu Ni Muujiza!