Wazee wenzangu habarini..kuna kitu nimekutana nacho fb na baada ya kufatilia sana nikakiona sehem nyingi pia mitandaoni na naomba kuuliza swali. Kuna jamaa mitandaoni UK, Kenya,Nigeria, Australia etc wanatangaza kuuza/kudeal na fixed matches HT/FT, correct scores, etc. Wao wanadai kuna baadhi ya...
Watu wengi wanafahamu kuconnect PC kwenye internet kwa kutumia Wi-fi hotspot ya smartphone au USB tethering. Unaweka bundle ktk smartphone then unaiwezesha simu yako kutoa wi-fi ambayo wataweza connect watu wengine au vifaa vingine kama simu au laptop max 10 devices.
Kitu ambacho watu wengi...
Ktk simu download software inaitwa tubemate (tubemate.com) hyo bab kubwa. Ukisearch video ukaiplay kwa juu unatokea mshale wa kijan kukuruhusu udownload. Click mshale, Select resolution unayoitaka then download
Kwenye pc inategemea na browser unayotumia ungeweka wazi browser yako
Kaka, utorrent itakusumbua. Tumia software ya FDM waweza download hapa FileHippo.com - Download Free Software
Hyo software inakuwezesha kudownlad torrent files bila kutumia software ya utorrent
Unachotakiwa kufanya ni hiki:
1) Install FDM
2) Nenda ktk torrent site kama kat.cr au piratebay.se...
Kwa wale wapenda series, Njia rahisi and very fast pia kudownload muvi au series kwa kutumia IDM au free download manager FDM (torrent iko too slow)
Kwenye PC yako install FDM au IDM na set as default downloader.
Nenda ktk browser yako na fungua eztv.ag then click show list. Hapo zitakuja...
Nadhan muda wa kumdhibiti Manji umefika. Nimefatilia taarifa nyingi na wasifu wa huyu jamaa naona kabisa its enough kuyumbishwa nae. Hapo alipo kwanza alitakiwa hata afunge domo lake asiongee kitu coz ambayo ashatufanyia ni makubwa zaidi
1) Kwanza hastahili kuwa na pasi ya kusafiria ya Tanzania...
Naomba kuuliza,huo msaada ni kama mkopo ambao tutahitaji kuulipa baadae??? maana bil 900 ni pesa ambayo TRA wanaweza kusanya ndan ya mwez mmoja. Mie nadhan marekan wanamtest magufuli kuona kama anaobey. Kila nchi dunian sasahv inajua Tanzania has a new strictly sherrif (JPM) ambae analeta...
Kama kuna hazina nje ya CCM ambayo tunaifumbia macho badala ya kuitumia ni Prof Ibrahim Lipumba. Huyu jamaa nataman apewe Wizara fedha au uchumi na mipango. Nchi za wenzetu zinamtumia tu na zinafaidika nae wakat sisi hata hatumjali.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.