Recent content by manyubhu wa manyubhuke

  1. M

    Natafuta nyumba ya kupanga

    Natafuta nyumba ya kupanga maeneo ya kimara, isiwe mbali na barabara, mwenye nayo please naomba msaada
  2. M

    Interview za TRA hazijatenda haki

    Kuna mahali nakubaliana na wewe ila kuna mahali ukweli usemwe Mm pia nilifanya huo mtihani nikiwa kituo kimoja nilliona kuna mtu alikuwa ameitwa kwenye tax management officer amesoma public administration (entrepreneurship) kama sikosei Ila tangazo lilitaka mtu awe na accounting/ finance jamaa...
  3. M

    Zijue aina za utajiri wa kichawi zinazoshika kasi kwa sasa

    Nyie ndo mnaamini binadamu tulikuwa manyani miaka maelfu, au dunia hii haikuumbwa ilitokea Tu kwa super natural power,
  4. M

    Tuunganishe Ukerewe na nchi kavu

    Labda watumie maguvu. Wakerewe kutuchanganya na wajita na wakurya ni kutukosea Sana😁😁😁😁😁
  5. M

    Mtihani wa usaili wa Tax Officer (TRA) wavuja

    unataka waweke dar, kwami wale wa mikoani hawakutumia gharama? acha ubinafsi
  6. M

    Mtihani wa usaili wa Tax Officer (TRA) wavuja

    ikitokea wakarudia nfikili unaruhusiwa, maana mchakato unaanza upyaaaaaaaaa
  7. M

    Mtihani wa usaili wa Tax Officer (TRA) wavuja

    wale wanufaika wa wizi wa mitihani hongereni, endeleeni kuiba mno aisee. yaan watu waniba mtihani halafu huoni athari eti na wewe uko ofisini. wezi wakubwa nyie
  8. M

    Mtihani wa usaili wa Tax Officer (TRA) wavuja

    Suala la ajira imeshakuwa tatizo hii nchi yaan kila mahali ni rushwa, sasa sijui wanyonge kama watapona. kama hawatarudia hii pepa sitakaa nikafanye hii mitihani tena
  9. M

    5 Government Jobs At TANROADS In Morogoro Region, April 2021

    anayejua maswali usahili tanroad anisaidie kunipa ABC
  10. M

    New government jobs at tanroads (mara region), april 2021- various posts

    usichoke Kuomba, hujui Mungu alipokupangia, mm mdogo wangu kaitwa usahili na hawa jamaa
Back
Top Bottom