sina uhakika sana na hiyo figure nimefanya roughly estimation according to number of members in diaspora community, for example houston, texas community ambayo ndio inasemekana ina diaspora wengi members wake hawazidi 1300.Anyway nadhani nyani ngabu anaweza kutupa idadi nzuri ya watanzania wote...
me nahisi nigerians walikuwa wanafanya hivyo wakiamini ukiwa na mtoto mwenye uraia wa marekani itakuwa easier kwao kupata permanent resident or kupata visa ya kuingia USA mara kwa mara
nina chip yang ya zantel nimejiunga na huduma ya epiqnation nikajarib kuichomeka kwenye modem ya zantel ambayo imeisha bundle but imegoma kufungua website inaniambia nirecharge msaada wanajamvi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.