Kweli kabisa, si hatuangalii mbele. Tunacho angalia kwann flani kanunua kile, au kwann amesoma. Mwisho wa siku ni ujinga. Tunafikiria ya hapa tu, y kesho hatua.galii
Sent using Jamii Forums mobile app
Eleza mchanganyiko wa madini kwanzia mwanzo hadi siku ya kuzaa na baada ya kuzaa. Mbona somo lako ni kama ka kucopy na kupanste.. fafanua kulingana na wewe unavyo fuga na sio kuambiwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Nina binti nilikuwa naye katika mahusiano. Tumekutana kimwili mara kadhaa. Kuna kipindi nilisafiri, katika safari yangu nilikaa miezi mitatu, nilipo rudi home nilikutana naye mara moja ambayo ilikuwa mwezi wa nne mwaka jana. Baada ya kukutana nilisafiri, mwezi wa sita nikapata taarifa toka kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.