Wakuu mambo vp??naomba kujua kama umepata chuo na mkopo asilimia mia..na ukaahirisha mwaka wa masomo!!je unaweza kupata mkopa tena kwa mwaka unaofatia???
Profile yangu capacity zonasoms zero na cjapata mpaka sasa na nilikuwa na gpa nzur tu ya diploma sasa jamani nifanye nini na hakuna option ya reset choices kwenye profile yangu!!!nifanye nini??msaada tafadhali
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.