herzygovina mwangosi
JF-Expert Member
- Sep 26, 2013
- 900
- 431
Ndugu wanajamvi,niko na mdogo wangu kike aliyefaulu kwenda kusoma shahada ya medicine katika chuo cha Herbat Kailuki
Naomba kujua kwa ambao wanafahamu agency(ies) ambazo zinatoa udhamini katika masomo haya.
Ntashukuru
Naomba kujua kwa ambao wanafahamu agency(ies) ambazo zinatoa udhamini katika masomo haya.
Ntashukuru