Mr. Mayala, nani alikuambia kuwa wote wanaosafiri kwenda Mwanza ni Wasukuma? Unadhani Jiji la Mwanza limejaa Wasukuma? Nilitegemea kuona kwenye andiko lako kuwa maandishi na maelezo yaliyotolewa ndani ya ndege ni ya lugha ya Kisukuma ningekuelewa kuwa Wasukuma ndio waliojaza ndege hiyo. Hivi...
watu wanalalamika kuwa mtoa mada sio mchumi na kwa hiyo hana haki ya kutoa tathmini, swali kwenu wote ni je, huyo CAG aliyetoa ripoti inayojadiliwa ni mchumi?
Nimeamua kujitosa jamvini japo si kawaida yangu kwa sababu mada hii imenigusa!
Kwanza kabisa naomba wote msome katiba ya nchi inavyoeleza kuhusu wajibu na kazi za mbunge.
pili, kuhusu pesa ya mkopo wa gari. Huu ni mkopo ambao hutolewa kwa masharti kwamba urudishwe ndani ya miaka mitano kupitia...
Nchi nyingi za Africa zinaingia kny machafuko kwasababu ya issue kama hii, upinzani ukishinda basi chama tawala huwa hwakubali kuachia dola hili ni tatizo sana,Labda kwa kutumia nguvu ya umma.
CCM wakipata madaraka wanasahau egenda zao, kumbuka 1995 Kundi la wana CCm 55 (G55)? Hata Mkapa naye alikuwepo na kina Sumaye... na nani tena? Halafu, yeye Mkapa alifanya nini na hoja ya Tanganyika?
Thanx bro for a useful post. As for whether mtu anapita au la, just believe, if you could become one of the 4K interviwees, how is that you dont believe to make it to the 100?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.