Recent content by mantoghoyoka

  1. M

    Mbunge ashauri bidhaa kutoka nje zipigwe marufuku ili kukuza soko la bidhaa za ndani

    Bora kukaa kimya watu washindwe kuthibitisha kuwa huna akili Kuliko kuongea na wathibitishe bila shaka yeyote kwamba hamnazo.
  2. M

    Maajabu hayaishi Tanzania! Nchi inayootewa kuwa ya Viwanda

    Kilimo Miundombinu Utilities Technology Gharama za uzalishaji Ushindani Soko ni muhimu kuelekea kiwanda kipi na wapi.
  3. M

    Daraja la Kigamboni faraja ya mateso bila chuki itazame namna ya kuwapa unafuu watumiaji wa daraja.

    Tunaomba serikali ya awamu ya tano itutupie jicho la huruma watumiaji wa daraja.Viwango viko juu mno ukizingatia gharama za uendeshaji hazifanani na za vivuko.Nashauri mzigo ubebwe na wananchi wote ili NSSF wapate chao .
  4. M

    Ufunguzi wa daraja la Kigamboni na tozo ya kupita darajani

    wananchi wapite bure daraja la kigamboni.RAISI wetu tunaamini unaliona hilo ndiyo maana limeanza bila tozo. 2020 kura zote zako. vyanzo vingine viilipe NSSF
  5. M

    Amerudi Kwenye Baraza, Mpiganaji Aliyepigana Hadi Risasi Ya Mwisho!

    Hakika hapa Rais ametuletea kifaa
  6. M

    Maoni, Ushauri na Mapendekezo kwa Rais Dkt. John Pombe Magufuli

    Chonde chonde kwa jinsi navyojua watu wema wanashughulikiwa na mfumo ambao by and large umeota mizizi kwa mwendo huu ulinzi wa rais na whistle blowers uongezwe maradufu.Madudu ni mengi.Mungu amlinde Rais wetu na wafichua maovu
  7. M

    Maoni, Ushauri na Mapendekezo kwa Rais Dkt. John Pombe Magufuli

    Chonde chonde kwa jinsi navyojua watu wema wanashughulikiwa na mfumo ambao by and large umeota mizizi kwa mwendo huu ulinzi wa rais na whistle blowers uongezwe maradufu.Madudu ni mengi
  8. M

    Steven Wassira adai hakubaliani na ushindi wa Easther Bulaya

    Awaone Star TV wampe coverag
  9. M

    Steven Wassira adai hakubaliani na ushindi wa Easther Bulaya

    Awaone Star TV wampe coveragw
  10. M

    Ole Sendeka: Lowassa aliwalipa vijana kudeki barabara Musoma na Mwanza

    Hivi kupakia watu kwenye malori si udhalilishaji.Sheria inasemaje
  11. M

    Vigogo kung'oka CCM ni habari njema kwa Magufuli na timu yake

    Hicho kiswahili kinadhihirisha upeo
  12. M

    Mshtuko anga la Tanzania kisiasa

    Maskini mtikila
Back
Top Bottom