Mkwawabongo
Senior Member
- Jul 28, 2015
- 154
- 116
Unataka kusema nini? Lowassa atarudi CCM? Magufuli atatorokea UKAWA? Vinginevyo hakuna cho chote!Wakuu salaam
Hold up ,nakuletea habar ambazo sio ramli ni siasa tupu
Ukisataajabu ya mussa utayaona ya filauni.
Within few days to come mshtuko mkubwa sana n pengine ndio utakao amua matokeo hasa ya urais unakuja.
Wenye mihemko ya kisiasa na wasio na political maturity ni vema wakajiandaa ki psychology ...
Kama unakipenda chama utabaki salama lakin kama unampenda mwanasiasa tarajia stroke.
Soon coming nasisitiza hio ndio siasa ambayo wengi wetu tulijenga misingi kwa watu na sio sera za vyama.
Huna lolote, wewe ni "attention seeker" tu.Wakuu salaam
Hold up ,nakuletea habar ambazo sio ramli ni siasa tupu
Ukisataajabu ya mussa utayaona ya filauni.
Within few days to come mshtuko mkubwa sana n pengine ndio utakao amua matokeo hasa ya urais unakuja.
Wenye mihemko ya kisiasa na wasio na political maturity ni vema wakajiandaa ki psychology ...
Kama unakipenda chama utabaki salama lakin kama unampenda mwanasiasa tarajia stroke.
Soon coming nasisitiza hio ndio siasa ambayo wengi wetu tulijenga misingi kwa watu na sio sera za vyama.
Heri kuirudisha ccm kuliko kundi la majizi yenye muelekeo wa kuigawa nchi kikanda
Naona Dr Mihogo na mchumba wake Josephine wesharejea toka ziara yao ya utalii waliyoifanya Marekani kwa hisani ya watu wa KITENGO.kama ni Dr.chips dume tumemzoea,ngoja nimpigie mshenga
Huwa nachukia sana mafumbo!
Wakuu salaam!
Hold up, nakuletea habari ambazo sio ramli ni siasa tupu. Ukistaajabu ya Mussa utayaona ya Firauni.
Within few days to come mshtuko mkubwa sana n pengine ndio utakao amua matokeo hasa ya urais unakuja.
Wenye mihemko ya kisiasa na wasio na political maturity ni vema wakajiandaa ki psychology. Kama unakipenda chama utabaki salama lakini kama unampenda mwanasiasa tarajia stroke.
Soon coming nasisitiza hio ndio siasa ambayo wengi wetu tulijenga misingi kwa watu na sio sera za vyama.