Recent content by Mantheman6

  1. Mantheman6

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Mtanzania huyu alikuja Marekani kusoma, akapata changamoto ya Akili, sasa hivi anaishi Mtaani, anahitaji msaada

    Itategemea upo state gani, nafikiri kuna baadhi hali ya hewa zao huvumilika ila kwa ujumla misimu yote ni mateso, winter baridi inapuliza kisawasasawa, summer joto sana yaani bongo hakuna joto bobu hivyo bas hali ya hewa ndio inawaua homeless wengi na sio njaa.
  2. Mantheman6

    JamiiForums Tanzania Huyu Mwanajeshi aliyekuwa akihutubia leo si ndiyo yule muuza madafu wa Ikulu, au?

    Upo sahihi ila mara nyingi matukio kama hayo kunakuwepo na mtu wakaribu na Rais aloamua kumsaliti yaani katika timu yake ya walinzi anaowaamini sana yupo mmoja ndie anaweza kusaidia kufanikishwa kwa suala hilo Mkuu umeshawahi kufanya kazi Special forces hongera sana
  3. Mantheman6

    JamiiForums Tanzania Huyu Mwanajeshi aliyekuwa akihutubia leo si ndiyo yule muuza madafu wa Ikulu, au?

    Upo sahihi ila mara nyingi matukio kama hayo kunakuwepo na mtu wakaribu na Rais aloamua kumsaliti yaani katika timu yake ya walinzi anaowaamini sana yupo mmoja ndie anaweza kusaidia kufanikishwa kwa suala hilo.
  4. Mantheman6

    JamiiForums Tanzania Ukitaka kwenda kuishi Marekani inabidi ujipange

    Fareed
  5. Mantheman6

    JamiiForums Tanzania JWTZ ina vikosi vingapi?

    Yupi tena
  6. Mantheman6

    JamiiForums Tanzania JWTZ ina vikosi vingapi?

    Aisee ndugu yangu sijakuelewa
  7. Mantheman6

    JamiiForums Tanzania JWTZ ina vikosi vingapi?

    Kweli aisee [emoji23]
  8. Mantheman6

    JamiiForums Tanzania JWTZ ina vikosi vingapi?

    Hivi wale wanaochukuliwa kwenda kwenye parade huwa ni wanajeshi tayari au huwa ni wale service wanaovaaga gwanda za kijani wanaokua wanasubiri ajira?
  9. Mantheman6

    JamiiForums Tanzania JWTZ ina vikosi vingapi?

    Karib mkuu
  10. Mantheman6

    JamiiForums Tanzania JWTZ ina vikosi vingapi?

    Air force tena? [emoji4]
  11. Mantheman6

    JamiiForums Tanzania JWTZ ina vikosi vingapi?

    Wewe ni wawapi?
  12. Mantheman6

    JamiiForums Tanzania JWTZ ina vikosi vingapi?

    Ni ufinyu tu wa akili na chuki za wazi kwa jeshi la wananchi
  13. Mantheman6

    JamiiForums Tanzania JWTZ ina vikosi vingapi?

    Naaam hata mimi nahisi hivyo [emoji122]
  14. Mantheman6

    JamiiForums Tanzania JWTZ ina vikosi vingapi?

    Okay
Back
Top Bottom