Hilo ndio jambo linalo shangaza badala ya kujadili hoja za msingi wanajadili walio toka nje nakuishia kuwatukana kiukweli spika ametukosea watanzania yampasa atube ladhi.
Tunapaswa kifikiri kwa kina, ningekua na uwezo wa kuwashauri wa tz wote ningewaomba tumpeleke ikulu mtu anaye toka nje ya ccm, yamkini atatusaidia kuwa bana mafisadi.
Oky nami nichangie kidogo ninacho faham, jinsi unavyo jisikia ndani ya nafsi yako hivyo ndivyo ulivyo, kwa mfano ukimuona mtu amefunga tai amependeza ana enda oficen unajisikiaje?
Furaha na unatamani ungekua ww? Na ukimuona mtu amevaa kawaida yupo dukani kwake au kwenye biashara yake...
serikali tatu ndio maoni yetu wananchi, sababu ziko nyingi sana ila naomba nikupe moja tu, kunaumuhim gani kutumi pesa za walipa kodi wa tanganyika kuwalipa posho na mishahara wanasiasa wa zanzibar ambao hatukuwachagua ss na hawana mchango wa maendeleo ya watanganyika? Tunataka 3 kodi zetu...
Zaidi ninawashangaa vijana wanao unga mkono watu ambasio waadilifu katiaka taifa letu, coz mapendekezo mengi yaliyo tolewa na walioba yalikua na faida kubwa kwa ss vijana kwani tungweza kuwawajibisha viongozi nyakati ambazo wameshindwa kua waaminifu kwa kutumia lasilimali na pesa za walipa kodi...
MM niwashauli ninyi mnao tulazimisha kukubali mawazo yenu kwamba katiba inayo pendekezwa ni nzuli nawasihi mkbuke usemi unao sema ukila na kipofu usshike mkono, hivi haki zipiambazo mmetoa? hizo haki za makundi umezitoa katika ibala ya pili lakini ilbala ya 21 mkasema hakuna mahali pa kuzidai...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.