Duuuu, kweli huyu jamaa ana mahaba niue kwa CCM, yaani tangu Magufuli kaanza kuzunguka hakuona kama Watanzania hawana kazi, leo peoplez wameamsha popo kidogo tu ameibuka. Sasa kwa taarifa yako, hiyo ni peoplez peke yake bado UKAWA, tuliaaa dawa ikuingie na acha kutukana Watanzania kuwa hawana...